Alie kuambia Miquecon ni mmakonde kakuongopea.
Hivi kwanini wa Tanzania tunaamini kila mmocambique ni mmakonde?
Niwape faida moja, wamakonde ni kabila dogo sana ndani ya Mocambique, kinacho wabeba ni ile wao ndio walio pambana kuikomboa Mocambique kutoka kwa mreno.
Kabila kubwa Mocambique ni Wamakhua.