rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Bora aende kwanza marefa wa Tanzania wameshindwa kumlinda, akikaa haapa anaweza kuwa kilema ile timu ya judo ilimpania kumvunja aende akacheze sehemu ambako mpira unaeleweka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simba haijawahi kuzuia mchezaji kuuzwa aiseeKwani yeye mwenyewe anasemaje? Maana kama yeye mwenyewe kachagua kuondoka Simba basi ni busara akapewa nafasi akaangalie maisha mengine na apewe baraka zote kwanzia washabiki mpaka viongozi.
Wengi hawalifahamu hiloAlie kuambia Miquecon ni mmakonde kakuongopea.
Hivi kwanini wa Tanzania tunaamini kila mmocambique ni mmakonde?
Niwape faida moja, wamakonde ni kabila dogo sana ndani ya Mocambique, kinacho wabeba ni ile wao ndio walio pambana kuikomboa Mocambique kutoka kwa mreno.
Kabila kubwa Mocambique ni Wamakhua.
Yeah kina Mukoko wanamchezeaga hovyo sana huyu mwamba aiseeBora aende kwanza marefa wa Tanzania wameshindwa kumlinda, akikaa haapa anaweza kuwa kilema ile timu ya judo ilimpania kumvunja aende akacheze sehemu ambako mpira unaeleweka