Naziona dalili za Louis Miquissone akitimkia Al Ahly ya Misri

Naziona dalili za Louis Miquissone akitimkia Al Ahly ya Misri

Bora aende kwanza marefa wa Tanzania wameshindwa kumlinda, akikaa haapa anaweza kuwa kilema ile timu ya judo ilimpania kumvunja aende akacheze sehemu ambako mpira unaeleweka
 
Kwani yeye mwenyewe anasemaje? Maana kama yeye mwenyewe kachagua kuondoka Simba basi ni busara akapewa nafasi akaangalie maisha mengine na apewe baraka zote kwanzia washabiki mpaka viongozi.
Simba haijawahi kuzuia mchezaji kuuzwa aisee
 
Alie kuambia Miquecon ni mmakonde kakuongopea.
Hivi kwanini wa Tanzania tunaamini kila mmocambique ni mmakonde?

Niwape faida moja, wamakonde ni kabila dogo sana ndani ya Mocambique, kinacho wabeba ni ile wao ndio walio pambana kuikomboa Mocambique kutoka kwa mreno.

Kabila kubwa Mocambique ni Wamakhua.
Wengi hawalifahamu hilo
 
Back
Top Bottom