Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 4,460
- 13,715
Liberals na policies zao za kufungua dunia. Immigration policies mbovu za mataifa haya kwa kudhani kupokea watafutao maisha bora, asylum na hifadhi kwamba wata adapt na misingi ya west kumbe walikuwa wanajidanganya.
Sasa leo mzungu ni wa kuzaa watoto wawili au mmoja na pengine kutozaa kabisa, angalia migrants wanaingia kwa kasi na huku wakizaana na kuoa wake wanne kama desturi yao. Sasa wamekuwa mob, wanapiga chini american values sasa wanataka nchi iendane vile wanavyotaka katika imani yao
Intifada, caliphate, jihad na ugaidi ndio vinakuja kwa nchi hizi, sasa ndio wataelewa kwa nini watu waliowaonya kuwakaribisha kwa wingi hawa watu. Saaa ndio wataelewa kwa nini trump alipiga stop hawa watu kuja USA.
Msichanganye ishu ya uhuru wa kujieleza na maandamano na hawa watu. Kama wanavyowaambia, hawa hawaandamani kuitafuta haki bali kuikamilisha itikadi yao. Kama unadhania ni haki yao kujie express nenda nchini zao uka aandamane mbele ya state house ya raisi ukipinga ubaguzi juu ya wakristo nchini wao then uone utakavyofanywa.
The West, poleni sana, na mazito yanakuja.
Sasa leo mzungu ni wa kuzaa watoto wawili au mmoja na pengine kutozaa kabisa, angalia migrants wanaingia kwa kasi na huku wakizaana na kuoa wake wanne kama desturi yao. Sasa wamekuwa mob, wanapiga chini american values sasa wanataka nchi iendane vile wanavyotaka katika imani yao
Intifada, caliphate, jihad na ugaidi ndio vinakuja kwa nchi hizi, sasa ndio wataelewa kwa nini watu waliowaonya kuwakaribisha kwa wingi hawa watu. Saaa ndio wataelewa kwa nini trump alipiga stop hawa watu kuja USA.
Msichanganye ishu ya uhuru wa kujieleza na maandamano na hawa watu. Kama wanavyowaambia, hawa hawaandamani kuitafuta haki bali kuikamilisha itikadi yao. Kama unadhania ni haki yao kujie express nenda nchini zao uka aandamane mbele ya state house ya raisi ukipinga ubaguzi juu ya wakristo nchini wao then uone utakavyofanywa.
The West, poleni sana, na mazito yanakuja.