Nazionea huruma nchi za Magharibi, hawataki kuzaliana huku wakikaribisha mamilioni ya itikadi kali kwao

Nazionea huruma nchi za Magharibi, hawataki kuzaliana huku wakikaribisha mamilioni ya itikadi kali kwao

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Liberals na policies zao za kufungua dunia. Immigration policies mbovu za mataifa haya kwa kudhani kupokea watafutao maisha bora, asylum na hifadhi kwamba wata adapt na misingi ya west kumbe walikuwa wanajidanganya.
20231105_121917.jpg


Sasa leo mzungu ni wa kuzaa watoto wawili au mmoja na pengine kutozaa kabisa, angalia migrants wanaingia kwa kasi na huku wakizaana na kuoa wake wanne kama desturi yao. Sasa wamekuwa mob, wanapiga chini american values sasa wanataka nchi iendane vile wanavyotaka katika imani yao
Screenshot_20231105_121855_X.jpg


Intifada, caliphate, jihad na ugaidi ndio vinakuja kwa nchi hizi, sasa ndio wataelewa kwa nini watu waliowaonya kuwakaribisha kwa wingi hawa watu. Saaa ndio wataelewa kwa nini trump alipiga stop hawa watu kuja USA.

Msichanganye ishu ya uhuru wa kujieleza na maandamano na hawa watu. Kama wanavyowaambia, hawa hawaandamani kuitafuta haki bali kuikamilisha itikadi yao. Kama unadhania ni haki yao kujie express nenda nchini zao uka aandamane mbele ya state house ya raisi ukipinga ubaguzi juu ya wakristo nchini wao then uone utakavyofanywa.

The West, poleni sana, na mazito yanakuja.
Screenshot_20231105_123154_X.jpg

Screenshot_20231105_123109_X.jpg
 
Nchi lako limejaa shida kibao, ujinga, maradhi, umasikini, ufisadi n.k, unaacha kujionea huruma wewe na vizazi vyako unawaonea huruma waliokuzidi kila kitu.
 
Nchi lako limejaa shida kibao, ujinga, maradhi, umasikini, ufisadi n.k, unaacha kujionea huruma wewe na vizazi vyako unawaonea huruma waliokuzidi kila kitu.
Hakika umsema kweli hata Mungu anatushangaa waafrica tuna shida kibao ambzo hata hakuna dalili ya kuzitatua badala yake watu wanaangaika na mambo makubwa ambayo mtu hujui chanzo chake rekebisha boriti ya jicho lako kwanza kabla ya kutaka ya mwenzio irekebishike siku zote tikiti bovu lipo shambani kwako
 
Kizazi cha magaidi kinazidi kujaa nchi za magharibi huku wakiwa na itikadi zao. Wangeweka sheria kali ukitaka kuingia huko ni lazima uachane na itakadi hiyo. Mbaya zaidi wanaoa wenyeji na kuwazalisha watoto wengi na kuwafundisha itikadi kali katika nchi ya ugeni. Tatizo hawana akili za kubuni mambo ya kisayansi katika nyanja za kimaisha. Wale ni wavurugaji wa amani ya dunia hii. Huko ughaibuni wadhibitiwe nyendo zao wasiwe huru sana kueneza itikadi kali za kishenzi duniani
 
Kizazi cha magaidi kinazidi kujaa nchi za magharibi huku wakiwa na itikadi zao. Wangeweka sheria kali ukitaka kuingia huko ni lazima uachane na itakadi hiyo. Mbaya zaidi wanaoa wenyeji na kuwazalisha watoto wengi na kuwafundisha itikadi kali katika nchi ya ugeni. Tatizo hawana akili za kubuni mambo ya kisayansi katika nyanja za kimaisha. Wale ni wavurugaji wa amani ya dunia hii. Huko ughaibuni wadhibitiwe nyendo zao wasiwe huru sana kueneza itikadi kali za kishenzi duniani

Hawawezi kuwa na itikadi kali. West wako tight sana kwenye suala la kuvunja itikadi.
Acha waje lakin hivyo wanavyotaka kufanya hawato viweza
 
West wana akili kuliko wewe, so wanajua wanachokifanya.

Nikuambie tu ukweli, hizi ni kelele tu za chura ila wote hapo wamepotea na kuacha asili zao na kufuata west.

Maisha ya warab wengi kwenye nchi zao hawataki, wakifika Marekani wanaona haya ndo maisha. watu hawako tayar kuongozwa na Misingi ya Dini kama ilivyo waislam ila wanataka Freedom iliyo Marekani, so ni easy kubadilika
Tamim al-Dari reported: The Messenger of Allah, peace and blessings be upon him, said, “This matter will certainly reach every place touched by the night and day. Allah will not leave a house or residence but that Allah will cause this religion to enter it, by which the honorable will be honored, and the disgraceful will be disgraced. Allah will honor the honorable with Islam, and he will disgrace the disgraceful with unbelief.”

Source: Musnad Aḥmad 16957

Grade: Sahih (authentic) according to Al-Arna’ut

Nuru ya Uislam itaenea nchi za magharibi kwa idhini ya Allah.
 
Itakadi kali wanaamini ipo siku watatawala dunia yote. Hiyo dunia watakayoitawala si itakuwa giza tupu kwa maana hawana akili za kuvumbua vitu vipya zaidi ya kufikiri kueneza itikadi kali.
 
Kizazi cha magaidi kinazidi kujaa nchi za magharibi huku wakiwa na itikadi zao. Wangeweka sheria kali ukitaka kuingia huko ni lazima uachane na itakadi hiyo. Mbaya zaidi wanaoa wenyeji na kuwazalisha watoto wengi na kuwafundisha itikadi kali katika nchi ya ugeni. Tatizo hawana akili za kubuni mambo ya kisayansi katika nyanja za kimaisha. Wale ni wavurugaji wa amani ya dunia hii. Huko ughaibuni wadhibitiwe nyendo zao wasiwe huru sana kueneza itikadi kali za kishenzi duniani
Ya kwamba ww mfuasi wa nabii mwamposa unaye amini maombi yatakufanya uwe tajiri bila kufanya kazi una akili kuliko wazungu wenye nchi zao ?kweli ukishakuwa mrokole unakuwa mpuambavu automatic.

Ebu jiulize kwanza ni kwann wanawaruhusu waarabu na waisilam kutoka nchi nyingine kwa wingi hali ya kuwa waafirika wenzako kutoka kusini mwa jangwa la sahara wana achwa wanafia kwenye bahari ya medterania kila siku ili wasingie Ulaya?

Ww ukiona wanawakaribisha ujue wao wana faida kubwa kwa mataifa yao , hakuna taifa la kizungu lita kukaribisha bila kuwa na faida kwao na ndio maana wanawaacha warokole weusi wanafia baharini kwa sababu wanaona hawana faida kwao zaidi kuwa mizigo kwao.

Hao waarabu unao sema sio wabunifu asilimia 80 ya uchumi wa nchi yako wanaumiliki wao wakati ww ukiwa kibarua wao ili ulishe familia yako.
 
Basi tuseme wazungu ni wabaguzi wa rangi, wanawaruhusu weupe wenzao waingie kwao huku ikiacha weusi waishie baharini. Wanaona hao weupe wenzao kidogo akili zao zinakaribiana na wao kuliko weusi na ndio maana wamewajaza katika viwanda vyao kama maopereta wa mashine. Wanawatumia kama cheap labourers
 
West wana akili kuliko wewe, so wanajua wanachokifanya.

Nikuambie tu ukweli, hizi ni kelele tu za chura ila wote hapo wamepotea na kuacha asili zao na kufuata west.

Maisha ya warab wengi kwenye nchi zao hawataki, wakifika Marekani wanaona haya ndo maisha. watu hawako tayar kuongozwa na Misingi ya Dini kama ilivyo waislam ila wanataka Freedom iliyo Marekani, so ni easy kubadilika
kuna nchi ya kiarabu au Kislam, inaongozwa kidini nipe jina nchi gani hiyo, hizo zote zinaendeshwa na vibaraka wa Western na America.

Zingeongozwa kidini na sheria ya Kislam usinge ona Muislam kenda America au Europe, we huoni Gaza nchi za kiarabu ndio wana mdhuru kuliko huyo Israel wamewawekea blockaded ni nani? Unadhani hizo nchi zingetawaliwa Kislam Egypt na Jordan hio Gaza kungezuwiwa kuingia chakula au silaha sidhani.
 
Hao walioandama Washington waislam hawazidi 1% am sure lakini kwakua huna akili siwezi kukuelewesha. Haihitaji dini ya mtu kuona watoto na watu wasio na hatia wanavyouliwa huko gaza.
Hawa watu mbona hawakuandamana wakati Hamas walipowashambulia na kuwaua watoto na akinamama wa kiisrael
 
Hawa watu mbona hawakuandamana wakati Hamas walipowashambulia na kuwaua watoto na akinamama wa kiisrael
Hakuna watoto na wakina mama waliouwawa na Hamas huko Israel kwa kiwango ambacho ulimwengu unashuhudia huko Gaza hivi sasa ingawa watoto na na wakina mama wanakufa kila pahala dunia nzima hata hapa Tanzania.
 
Back
Top Bottom