Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Wewe ni mtanzania mweusi kama mimi mpaka leo umevumbua kitu gani kipya?Itakadi kali wanaamini ipo siku watatawala dunia yote. Hiyo dunia watakayoitawala si itakuwa giza tupu kwa maana hawana akili za kuvumbua vitu vipya zaidi ya kufikiri kueneza itikadi kali.
Nadhani kuna ukweli mdogo lakini mengi sio kweli, nchi nyingi za kiarabu waliokimbilia ni hawa kama wa Palestine, Syria na sababu kuu huwezi kukuta wananchi wa Gulf states kwenda kufanya kazi kwa wazungu kwa kuwa wanalipwa kuliko huko ila wazungu ndio wamejaa kufanya kazi kwa waarabu. Nchi za kiarabu walihamia USA na Ulaya ni hawa waliotoka nchi zenye vita kama Syria, Palestine kwa sababu ya vita viliyoletwa na nchi za magharibi.West wana akili kuliko wewe, so wanajua wanachokifanya.
Nikuambie tu ukweli, hizi ni kelele tu za chura ila wote hapo wamepotea na kuacha asili zao na kufuata west.
Maisha ya warab wengi kwenye nchi zao hawataki, wakifika Marekani wanaona haya ndo maisha. watu hawako tayar kuongozwa na Misingi ya Dini kama ilivyo waislam ila wanataka Freedom iliyo Marekani, so ni easy kubadilika
nivumbue nini kwa elimu niliyoipata ya mfumo wetu wa elimu wa kukariri notisi?Wewe ni mtanzania mweusi kama mimi mpaka leo umevumbua kitu gani kipya?
unajizima data, ina maana magaidi yalikuwa na haki kushambulia waisrael?Hao walioandama Washington waislam hawazidi 1% am sure lakini kwakua huna akili siwezi kukuelewesha. Haihitaji dini ya mtu kuona watoto na watu wasio na hatia wanavyouliwa huko gaza.
hao ni waisrael wenye asili ya palestina, au hujui kuwa israel ina waarabu? Tena wanashiriki siasa za nchi hiyo na bungeni wapoWw mpumbavu hao unao waona hapo sio wote ni waisilam, tatizo nyinyi mnadhani kila mkirsito duniani ana akili za kipumbavu kama nyinyi warokole kutoka bara la giza za kujipendekeza kwa Wayahudi.
Ukienda America ya kusini kuanzia Brazil na nchi zote za bara hilo raia ni wakatoriki lakini kuanzia raia na serikali zao wanawaunga mkono wapalestina, na kama unataka kwenda jera fanya dhihaka ya kuwaita wapalestina eti ni magaidi ukiwa kwenye nchi hizo ukione cha moto.
Hata juzi kundi la raia wa Marekani wenye asili ya kiyahudi wali uvamia mkutano ya rais Baden wakimtaka haiambie Israel astishe vita uko gaza.
Hiyo chuki yako kwa waisilam itakuathiri kwa sababu hauna chochote cha kuwafanya na wala hawata pungua chechote zaidi ya ww kuugua vidonda vya tumbo.
hiyo dini ikienea dunia nzima itakua giza. Nani atapenda giza hilo?Tamim al-Dari reported: The Messenger of Allah, peace and blessings be upon him, said, “This matter will certainly reach every place touched by the night and day. Allah will not leave a house or residence but that Allah will cause this religion to enter it, by which the honorable will be honored, and the disgraceful will be disgraced. Allah will honor the honorable with Islam, and he will disgrace the disgraceful with unbelief.”
Source: Musnad Aḥmad 16957
Grade: Sahih (authentic) according to Al-Arna’ut
Nuru ya Uislam itaenea nchi za magharibi kwa idhini ya Allah.
Waliouawa Israel wana hatia gani?Hao walioandama Washington waislam hawazidi 1% am sure lakini kwakua huna akili siwezi kukuelewesha. Haihitaji dini ya mtu kuona watoto na watu wasio na hatia wanavyouliwa huko gaza.
hamuachi kulialia na chuki za kidini. Hiyo dini mmeigeuza kichaka cha kufichia uovu wenu mkiambiwa ukweliUpo sahihi kabisa, mtoa mada ana chuki za kidini tu zimemjaa.
ana chuki gani wakati anasema ukweli?Sanaa
Huju historia wewe. Mleta mada yuko sawa. Unajua uturuki iligeukaje kuwa nchi ya kiislamu?West wana akili kuliko wewe, so wanajua wanachokifanya.
Nikuambie tu ukweli, hizi ni kelele tu za chura ila wote hapo wamepotea na kuacha asili zao na kufuata west.
Maisha ya warab wengi kwenye nchi zao hawataki, wakifika Marekani wanaona haya ndo maisha. watu hawako tayar kuongozwa na Misingi ya Dini kama ilivyo waislam ila wanataka Freedom iliyo Marekani, so ni easy kubadilika
Imeshaenea hadi kufikia hadi viongozi wa europe kama uingereza kuwahiyo dini ikienea dunia nzima itakua giza. Nani atapenda giza hilo?
Nilikua najua unazungumzia waandamanaji huko Washington.unajizima data, ina maana magaidi yalikuwa na haki kushambulia waisrael?
sawa, imetabiriwa watakuwa wengi kama nzige na kuifunika dunia. Hilo ni giza linajia dunia. Ni mambo mazito kwa kweliImeshaenea hadi kufikia hadi viongozi wa europe kama uingereza kuwa
waislamu maana yake imeshaenea,as we speak first minister wa scotland anaitwa humza yousef mke wake ni mpalestina lakini wazungu wamemkubali na kuwamua awe kiongozi wao mkuu
Mwingine huyu ni mzungu kiongozi wa uholanzi, huyu alikuwa anawachukia waislamu hafi kufikia kuandika kitabu kuupinga uislamu akaishia kubadilisha dini as we speak he a practising mulimsawa, imetabiriwa watakuwa wengi kama nzige na kuifunika dunia. Hilo ni giza linajia dunia. Ni mambo mazito kwa kweli
Na huyu pia alikuwa kama wewe tena alifikia hadi kuandika kitabu kuupinga uislamu akaishia kubadili dini sasa ni swala tano tena ni kiongozi wa juu uholanzi sio mbwiga kama weweKwa ufupi Mimi siwapendi Waarabu na Waislam.
Wana roho mbaya sana
hao waandamanaji ni wahamiaji wa mashariki ya kati na amerika kusini walio against israel/USA. Mmarekani typically hana muda wa kwenda kuandamana kuunga mkono magaidiNilikua najua unazungumzia waandamanaji huko Washington.