co fm
JF-Expert Member
- Jul 20, 2016
- 1,541
- 2,487
Habari wadau humu JF,naomba kupata ushauri kutoka kwenu kuhusu mwenendo kwa kesi yangu ya traffic ambapo huu ni mwezi sasa toka niambiwe kesi imeisha na msababisha ajali kukutwa na hatia.
Chakushangaza kila nikienda kuchukua documents za hukumu naambiwa mara hazijasainiwa mara hakimu hayupo mara copy ya hukumu haipo. Wadau nisaidie muongozo, mimi nimepanga kwenda ngazi za juu maana haiwezekani kesi ya kitraffic nazungushwa hivi maana naingia gharama na kunipotezea muda wangu wa kufanya mambo mengine
Chakushangaza kila nikienda kuchukua documents za hukumu naambiwa mara hazijasainiwa mara hakimu hayupo mara copy ya hukumu haipo. Wadau nisaidie muongozo, mimi nimepanga kwenda ngazi za juu maana haiwezekani kesi ya kitraffic nazungushwa hivi maana naingia gharama na kunipotezea muda wangu wa kufanya mambo mengine