DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Nyinyi ndiyo mnapakwa mafuta na p Diddy kwa tamaa zenu!!
Acha kutukana watu ambao hauwajui utapata matatizo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyinyi ndiyo mnapakwa mafuta na p Diddy kwa tamaa zenu!!
Ha ha ha u wishUnamshauri anunuwe haki yake au siyo!!?? Wwe lazima utakua ndiyo karani wa Muheshimiwa Hakimu! Bishaa!!????
Nyie wapenda takrima hamna tofauti na wapenda rushwa wote tunawaweka kapu moja la watu wenye tamaa! Sasa kitu kinatolewa bure na serekali, wwe unataka upewe takrima ndiyo utowe! Wwe mafuta ya p Diddy yanakuhusu,la sivyo achaa tamaa! Alafu kawaida ya takrima hutoka baada ya kazi na si kabla ya kazi!!Acha kutukana watu ambao hauwajui utapata matatizo
Jamani hata kesi ya traffic?? Kesi ndogo tu hiyoMkuu vumilia,nakala ya hukumu ni ndani ya siku 90 baada ya kusomewa hukumu ukipata chini ya hapo ni fadhila tu za watumishi wa Mahakama,na hizi taarifa nimezipata kwenye kipindi cha ITV sema na Mahakama, kuna mtu aliiuliza swali la muda wa nakala ya hukumu!!!