Wapelekee hela ya moto au nenda high courtHabari wadau humu jf,naomba kupata ushauri kutoka kwenu kuhusu mwenendo kwa kesi yangu ya traffic ambapo huu ni mwezi sasa toka niambiwe kesi imeisha na msababisha ajali kukutwa na hatia….Chakushangaza kila nikienda kuchukua documents za hukumu naambiwa mara hazijasainiwa mara hakimu hayupo mara copy ya hukumu haipo…Wadau nisaidie muongozo,mimi nimepanga kwenda ngazi za juu maan haiwezekan kesi ya kitraffic nazungushwa hivj maana naingia gharama na kunipotezea muda wangu wa kufanya mambo mengine
Kama Una muda wa kupoteza. Ni sawamimi nimepanga kwenda ngazi za juu.
👆fuata hiyo
Ajiongeze tuHao watu wanalindana sana
Unajua la kufanya. Acha kujitoa fahamuSasa nifanye nn
Sasa kama angekua anajua la kufanya angeuliza humu!!?? Si angefanya!? Kama wwe hutaki kuumpa msaada bora unge pita kimya!!!Unajua la kufanya. Acha kujitoa fahamu
Mkuu vumilia,nakala ya hukumu ni ndani ya siku 90 baada ya kusomewa hukumu ukipata chini ya hapo ni fadhila tu za watumishi wa Mahakama,na hizi taarifa nimezipata kwenye kipindi cha ITV sema na Mahakama, kuna mtu aliiuliza swali la muda wa nakala ya hukumu!!!Habari wadau humu JF,naomba kupata ushauri kutoka kwenu kuhusu mwenendo kwa kesi yangu ya traffic ambapo huu ni mwezi sasa toka niambiwe kesi imeisha na msababisha ajali kukutwa na hatia.
Chakushangaza kila nikienda kuchukua documents za hukumu naambiwa mara hazijasainiwa mara hakimu hayupo mara copy ya hukumu haipo. Wadau nisaidie muongozo, mimi nimepanga kwenda ngazi za juu maana haiwezekani kesi ya kitraffic nazungushwa hivi maana naingia gharama na kunipotezea muda wangu wa kufanya mambo mengine
Nyinyi ndiyo mnapakwa mafuta na p Diddy kwa tamaa zenu!!Takrima hapo - you waste ur time .
Unamshauri anunuwe haki yake au siyo!!?? Wwe lazima utakua ndiyo karani wa Muheshimiwa Hakimu! Bishaa!!????Nyoosha mkono