Nazungushwa mahakamani kuhusu mwenendo kwa kesi yangu ya traffic nifanye nini?

Acha kutukana watu ambao hauwajui utapata matatizo
Nyie wapenda takrima hamna tofauti na wapenda rushwa wote tunawaweka kapu moja la watu wenye tamaa! Sasa kitu kinatolewa bure na serekali, wwe unataka upewe takrima ndiyo utowe! Wwe mafuta ya p Diddy yanakuhusu,la sivyo achaa tamaa! Alafu kawaida ya takrima hutoka baada ya kazi na si kabla ya kazi!!
 
Jamani hata kesi ya traffic?? Kesi ndogo tu hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…