Mkuu vumilia,nakala ya hukumu ni ndani ya siku 90 baada ya kusomewa hukumu ukipata chini ya hapo ni fadhila tu za watumishi wa Mahakama,na hizi taarifa nimezipata kwenye kipindi cha ITV sema na Mahakama, kuna mtu aliiuliza swali la muda wa nakala ya hukumu!!!