Hawa bongo pundits si mchezo!! Yaani mchezaji 'anayeishi' kwenye postseason aingie kwa panic mode? Mtu aliyeenda 6 straight NBA Finals?lakini pia Bron Bron akirudi on 3rd anaweza akawa kwenye panic mode kitu ambacho si kizuri kwa Cavs..
Kwa kuwa hiyo ni tabia yako basi unafikiri kila mtu anayo!! Leo sikuwa na mzuka wa kuangalia game huku nikichangia mada humu. Niliamua kuangalia game vizuri, kwani ilikuwa ni decisive kwa Cavs.
Hebu tuone mtajitokeza wangapi leo, wa kwanza wewe...Sina haja ya kujificha, kwani najua huu ni mchezo; kuna kufungwa ama kushinda.
Mwingine huyu, naendelea kuhesabu...[HASHTAG]#defendtheland[/HASHTAG]
Sawa..!Sasa nimeingia rasmi kwenye NBA....
[HASHTAG]#TeamCavs[/HASHTAG]
Sio siri hii ngoma nzito.....Sawa..!
Karibu sana Mkuu...
[HASHTAG]#DubNation[/HASHTAG]
Sio siri hii ngoma nzito.....
Karibu tena mkuu, kikubwa cha kushukuru ni kwamba timu zote zimeingia zikiwa hazina majeruhi.
Hahaa were going to beat GSW back to backAs OKC never reached to far! I am now annoucing NiNAISAPOTI GSW