NBA 2016/2017 Season Special Thread


Mkuu mwaka jana mlishinda game zote 2 za kwanza kama unakumbuka, lakini haikutosha kuwapa ubingwa.

Kwenye playoff huwa siiamini game ya kwanza kabisa.
 

I honestly don't see this happening!with all the experience and leadership they got on court,if it gets to that it's done n dusted!
 

Game ya 3 ndio huwa indicator nzuri, ila kama Cavs waki-split the first two games (ie win at least one of the first two) GSW will be in trouble.
 
Bado siku tatu tu ile Golden state ibadilike na kuwa bronze state.

[HASHTAG]#defendtheland[/HASHTAG]
[HASHTAG]#striveforgreatness[/HASHTAG]
[HASHTAG]#Cavsnation[/HASHTAG]
 
Mimi sina wasiwasi na GSWs, hata wakitangulia 2 - 0, tunakinukisha tu.

Itabidi mmchukue CP3 kuja kuongezea nguvu kwa ajili ya mwaka kesho tena.
Hivi nyie ambao ni reigning champions mmeongeza wangapi mpaka sasa? Kunya anye kuku...
 
Why may I ask?
Spliting the first couple of games will put too much pressure on GSW, so far evidence iliyopo ni kwamba, when you need buckets, when each bucket counts on biggest stage, KD's & Curry's butt cheeks start getting sweaty, they have never proven that they can deliver when it matters the most, We all know Kyrie is a bad man when each bucket counts, he shows up big, ditto LBJ.
 
Cavs in 6. Split the first 2 game , winning the next 2 at home and 6th one at home again.
 
Stephen A is about to make his pick!

Since 2011 he is 0-6!

I'm watching First Take...whoever he picks is doomed😀.

Max Kellerman picks the Warriors...in 6!

Stephen A has GSW in 7!

Molly Qerim has the Warriors in 5!

Hahahaaa so we shall see...

Now let me head over to FS1's Undisputed and see who Skip and Shannon and Joy are picking...if they haven't already made their picks.

And btw, Tiger Woods was arrested for DUI last night....
 
Shame what happened to Tiger, he inspired me to start playing golf, everything started going south for him once his dad died. So what's Skip saying? he's like the world's # 1 LeBron hater.
 
Mapenzi yanapofusha...ukipenda chongo utaita kengeza! Kwa ukumbusho tu mchezo wanaocheza Warriors ni tofauti kabisa na ule wanaoucheza Cavaliers. Cavs rely more on physical strength and I hope it works against team that relies on finesse!
 
Mapenzi yanapofusha...ukipenda chongo utaita kengeza! Kwa ukumbusho tu mchezo wanaocheza Warriors ni tofauti kabisa na ule wanaoucheza Cavaliers. Cavs rely more on physical strength and I hope it works against team that relies on finesse!
Ebu acha fiksi mzee....NBA kama timu haina physical strength itafanya vipi defence? Physical strength is part of what makes great teams....lazima uwe nayo.
 
Mapenzi yanapofusha...ukipenda chongo utaita kengeza! Kwa ukumbusho tu mchezo wanaocheza Warriors ni tofauti kabisa na ule wanaoucheza Cavaliers. Cavs rely more on physical strength and I hope it works against team that relies on finesse!
Your point is? See what you quoted and try to stay within that context.
 
Naona watu kibao kwenye social medias including pundits wana i-underestimate CAVS kuelkea series ya fainali.. Wengine mpaka wanathubutu kusema wanasubiri kuona sweep!!

Inachekesha na pia inakera sana.

Ngoja tusubiri less than 60hrs left.
 
Naona watu kibao kwenye social medias including pundits wana i-underestimate CAVS kuelkea series ya fainali.. Wengine mpaka wanathubutu kusema wanasubiri kuona sweep!!

Inachekesha na pia inakera sana.

Ngoja tusubiri less than 60hrs left.
Kama mshindani mwenye kupenda fairness, hii inakuwa kwa kweli lakini unawaacha watu na mawazo yao.
I never underestimate my foes, never. So I do not do mistake of underestimating Cavs, nah... Nor will I tell you to underestimate Warriors.
 
Kama mshindani mwenye kupenda fairness, hii inakuwa kwa kweli lakini unawaacha watu na mawazo yao.
I never underestimate my foes, never. So I do not do mistake of underestimating Cavs, nah... Nor will I tell you to underestimate Warriors.

Just yesterday I was blasting some crazy ass warriors fans for that delusional fantasy!! I told them they may keep it dreamy as they have all rights to hold their fanacism.

At some points I asked them if Kawh Leonard alone was enough to give GSW a nightmare at their home, what do they actually think will happen against the injury free CAVS ambayo iko full strengthened!? I never underestimate one too but I personally don't see GSW winning a three/two games in row and in case they lose one at Oracle the series wont even get to game seven.
 
Kama mshindani mwenye kupenda fairness, hii inakuwa kwa kweli lakini unawaacha watu na mawazo yao. I never underestimate my foes, never. So I do not do mistake of underestimating Cavs, nah... Nor will I tell you to underestimate Warriors.
I like the grown-up way you look at stuff, this is maturity and is one trait of true sportsmanship...big up King Shaat! The rest of us are just hot-headed bigots led by our ovewhelming devotion to individuals and/or teams with less regard to proven stats. Nevertheless some comments just leave me perplexed, confused and astounded!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…