Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Hahaah mbona uoga bro tulia gemu bado ngumu sana.sawa kabisa Shumpert anapiga kazi hata KD anaonekana Kwa matukio tu.
Ila sasa ubaya wa hawa jamaa second half wanakuwaga kama ndio wanaanza hivi, ila hata Tyronn analifahamu hilo.
sawa kabisa Shumpert anapiga kazi hata KD anaonekana Kwa matukio tu.
Ila sasa ubaya wa hawa jamaa second half wanakuwaga kama ndio wanaanza hivi, ila hata Tyronn analifahamu hilo.
Hahaah mbona uoga bro tulia gemu bado ngumu sana.
Ahahaha... Tatizo bench lao lina afya sana na hicho huwa kinawasaidia sana kwenye second half.Not today man, leo kinanuka.
Ngoja uone defense ya Q3 mkuu.
Itakuwa GSW inabebwa mkuu...Hawa Warriors wakiguswa tu wanapewa foul, lakini ni tofauti kwa CAVS.
Kumbe na wewe umeliona hilo, halafu lue akiongea wanasema ni excuse! hii game kama mambo yataendelea itaharibika.Hawa Warriors wakiguswa tu wanapewa foul, lakini ni tofauti kwa CAVS.
Halafu wenyewe wakija Quicken loan wakifanyiwa unfair decision kama hizi kinakuwa ndio kisingizio.Nimeliona sana na linaudhi kweli Mkuu. Wawe fair kwa team zote.
Punguza presha kaka...Halafu wenyewe wakija Quicken loan wakifanyiwa unfair decision kama hizi kinakuwa ndio kisingizio.
Hawa marefa wasituharibie fainali
Hata marefa nao wamempanikishaJames kapanic kama.
Just like I said LeBron is worn out. wampumzishe jamani!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Anahemea masikioni speed ya mchezo naona imekuwa kubwa kwake.
Leo nasikia kwa mara ya kwanza GSW kubebwa na marefa! Kweli hujafa hujaumbika!Endelea kumwombea mkuu.