NBA 2016/2017 Season Special Thread

Wazee game three naona inachelewa tuanze kuwapunguza spidi hawa madogo!
Wabongo mnshangaza kweli kweli...kwa nini mtu uwe na haraka ya kuwahi penye hatari? Sasa wewe mtu unaonywa toka mapema kabisa kuwa walipuaji wataingia mjini, wewe unatamani siku ifike haraka ushuhudie unavyolipuliwa...ha ha haaa!
 
Reactions: 911
Wabongo mnshangaza kweli kweli...kwa nini mtu uwe na haraka ya kuwahi penye hatari? Sasa wewe mtu unaonywa toka mapema kabisa kuwa walipuaji wataingia mjini, wewe unatamani siku ifike haraka ushuhudie unavyolipuliwa...ha ha haaa!

Ha ha ha, sisi tupo tunawasubiri kwa hamu sana, maana hii ni dharau sasa.
 
Ha ha ha, sisi tupo tunawasubiri kwa hamu sana, maana hii ni dharau sasa.
Unajua duniani kuna watu wa aina mbili wanaonishangaza kweli kweli...wa kwanza anaitwa sadist na wa pili anaitwa masochist. Pamoja na hawa watu kutofautiana kitabia, kila moja ili aweze kutimiza ndoto yake, anamhitaji huyo mwingine. Wa kwanza ni mtoaji lakini ili aweze kuridhika lazima pia awepo mpokeaji. Kama binadamu, aina ya bidhaa inayotolewa na kupokewa ndio huniacha hoi.

Na bidhaa yenyewe inayoongelewa hapa ni mateso (cruelty)...sadist moyo wake hutulia tu pale anapotoa mateso na masochist moyo wake hutulia tu pale anapopokea mateso. Tanzania ni mfano mzuri sana ambapo huu mfumo wa maisha umeweza kushamiri. Wananchi walio wengi ni masochists na hivyo anapotokea kiongozi kama Rais Magufuli ambaye ni sadist, mioyo ya wengi hutulia.

Masochist husubiri kwa hamu kubwa kupokea mateso na sadist hupata faraja pale anapomwona mwathirika wake akilia machozi ya uchungu/furaha! Kweli dunia tambarare na hujafa hujaumbika! Na hapa ndipo ule msemo wa mtoto akililia wembe mpe (ajikate) unaleta maana lakini yenye utata kwani kama wewe ni mzazi, machozi yatatiririka tu ukijilaumu kwa kitendo chako hicho.
 
Hahaha asee Mkuu ulipoteleaga wapi bhana?!. Huu uzi upo sana asee. Na kama kawaida this time of the year ndo unakamataga audience zaidi. Karibu tena asee.
Majukumu tu...ngoja nitajitahidi ku-keep up with the pace...
 
Sorry wakuu ..game 3 inachezwa saa ngapi make alfajiri sijaona
 

2
down...2 to go? Yeah, as of now the Warriors are half-way down the finishing line while the CAVs have yet to start! Within less than 4 hours, we will know whither to...good luck everybody, don't you start panicking guys.
 

2
down...2 to go? Yeah, as of now the Warriors are half-way down the finishing line while the CAVs have yet to start! Within less than 4 hours, we will know whither to...good luck everybody, don't you start panicking guys.
Mkuu...
Tuombe Klay Thompson awe mtamu in both, defense and offense...
Hapo shughuli itaisha mapemaaaaa..!
[HASHTAG]#DubNation[/HASHTAG]
 
Mkuu...
Tuombe Klay Thompson awe mtamu in both, defense and offense...
Hapo shughuli itaisha mapemaaaaa..!
[HASHTAG]#DubNation[/HASHTAG]
Nasikia tetesi kuwa NBA wasingependa kuona sweep kwa sababu hiyo itawakosesha mapato sasa sijui watafanya nini. Mwaka jana walifaidikia sana kwa series kuendelea hadi game 7 na sasa wameanza kutafuta namna kuzuia isiishe mapema waweze kukusanya zaidi. Hata hivyo sina hakika kama hilo litakubalika kwa [HASHTAG]#dubnation...strengthinnumbers![/HASHTAG]
 
Kwamba CVs leo watapendelewa ili washinde au?
 
Mkuu...
Maombi yangu yanajibiwa, Klay anafanya kazi yake...
But Steph yuko off kidogo...
Na ni vyema Steph akaendelea kuwa off kidogo ili tusije tukabaki sisi pekee kama wachangiaji kwenye hili jukwaa letu pendwa..!
 
Yaani dakika 2 za LBJ kupumzika tu noma, jamaa wamepiga bonge la gap.
 
Kati ya siku zote,sikutegemea hili jukwaa kuwa kimya kiasi hiki kwa siku ya leo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…