Steph Curry
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 5,936
- 4,707
Game ishaisha hii.. Q3 watatembea na ulimi maana naona Bron tayari kashachokaKwa game inavyokwenda ni ngumu sana kwenda penye game 7 kama gsw wakiendelea kukaza na kuacha wastani wa vikapu 5 tofauti ni wazi hakutokuwa na 7.
GSW 98 CAVS 93Jamani Q3 bado haijaisha? Update pse
Robo ya tatu hiyo tofauti ya pwenti 5 hizo tuone itakuwaje!Anajitahidi kwa kweli lakini wengine ndiyo hivyo tena pamoja na kuanza vizuri sana kuna dakika walizembea GSW wakafanya yao. Kama quarter ya tatu mwishoni gap ni kati ya 5 to 6 points then we have a ball game which can go either way.
That's anything can hardly change the expected resultsAnything can happen at this point...
Imekuwa moja ya fainali nzuri...hii
Hahaha...That's anything can hardly change the expected results