Raimundo
JF-Expert Member
- May 23, 2009
- 13,416
- 12,618
Kabisaa! Bora tu iwe two horse title race kama laliga, tena ikiwezekana tumsogeze na Russell W. Kabisa kwa maana hata yeye pia anahitaji ring akiwa bado kwenye prime.
Dah, ila raha ya game itakufa kabisa.
Watu mnafatilia regular season mlishajua nani anaingia Finals.