Kabisaa! Bora tu iwe two horse title race kama laliga, tena ikiwezekana tumsogeze na Russell W. Kabisa kwa maana hata yeye pia anahitaji ring akiwa bado kwenye prime.
And this is what happened in this just finished season. Wakati msimu unaanza zaidi ya 98% ya pundits wote walitabiri fainali ni GSW na CAVS, na hapo hapo zaidi ya 55% walisema warriors ndio atachukua ubingwa!Dah, ila raha ya game itakufa kabisa.
Watu mnafatilia regular season mlishajua nani anaingia Finals.
Salama kaka!Hahaha wakuu Lizarazu na Raimundo habari za masiku!. Kwenye kushabikia ushindi hakuna tofauti sana na harusi. Yaani ukishashinda tu, time span ya wewe kama mshabiki kuwa "elated" na kuwa na mzuka na huo ushindi hauzidi masaa 48, labda iwe a case of "drought" ndo utaona watu wanashangilia hata zaidi ya 48HRS.
Yaani harusi imeshakwisha afu bado una mzuka iendelee na siku ya pili na ya tatu?! 😕. Na mimi huwa naamini kwamba ukijua ushindi, jua pia na kuwa na staha katika namna unafurahia mbele za uliowashinda. I don't see any need for the "unnecessary" celebration over what's been done quick
Hahahahahah daaah ubingwa ulikuwa mtamu .Wewe sasa ndio unawaharibia sherehe kabisa, wao hawataki kuskia hayo!
Anyway kingshat,Mag3,George,curry,mazigazi bado hamjatoka tu huko Whitehouse tangu muende alhamisi!?
Jimmy Butler to Minnesota Wolves!! Smh
Good move for Butler, but could possibly be a bad move for Bulls.Anaenda kuungana na kocha wake.
Good move for Butler, but could possibly be a bad move for Bulls.