NBA 2016/2017 Season Special Thread

Tyta Lakers wanaelekea kushinda game ya Kings, nilikuwa nimewakatia tamaa lakini naona wamepiga comeback!

Trailing by 19 first half, now up by 10, 3 minutes to time.

Kudos to Luke Walton.
I wonder what the problem was........Was it Kobe's Presence or Lack of A good Coaching Staff?They are very promising now..
 
I wonder what the problem was........Was it Kobe's Presence or Lack of A good Coaching Staff?They are very promising now..

I think Kobe was, coz any coming coach was supposed to go along with what Kobe wanted regardless of his poor performance.
 
Nilijua watakutana na Trump, make naye alikuwa na kikao na Obama cha kukabidhiana ofisi.

Nilikuwa nawaza LBJ ataongea nini make alivyomkampenia Mama Clinton Ohio na bado Trump akashinda hiyo hiyo Ohio.
Lebron has shown maturity via his social media account.He urged people to be positive and move on,unlike his teammate,JR Smiths...Alichopost kwenye instagram yake ni upuuzi mtupu.
The First Championship(After a very long time) Lebron brought to Cleveland and His Public endorsement of Hillary did enough for Democrats to win Cleveland but not Ohio.
 

Ha ha ha alichoandika JR Smith ni aibu, maana hata kuandika hajui basi shida tupu.
 
Kama ataendelea kuwa healthy kwa miaka mingine 5 mpaka 7 na production yake iendelee kuwa at the current level au ishuke slightly basi huyu anaweza kumfunika hata Kareem Abdul Jabar.

Mpaka msimu unaisha atakuwa anakula sahani moja na Shaq.
 
Kama ataendelea kuwa healthy kwa miaka mingine 5 mpaka 7 na production yake iendelee kuwa at the current level au ishuke slightly basi huyu anaweza kumfunika hata Kareem Abdul Jabar.
Na curry unamuacha vp
 
Anafikiri Curry ni rookie! Kumbe msimu wa 9 sijui!
Babu mi najua basi
hao gsw nimeaanza kuwashabikia msimu uliopita tena zile mechi za mwishooooooni nakumbuka zbc2 walikua wanaonyesha ila ni zile game tatu za nyuma
 
this is the season I have been waiting for so long!
 
NBA records:
(1) 10+ 3 pointers in the 1st 9 games in the season, Cavs
(2) 726 consecutive games with 10+ points, LBJ (MJ leads with 866 games, LBJ 3rd.)

[HASHTAG]#letsgocavs[/HASHTAG]
 
Reactions: BAK
NBA records:
(1) 10+ 3 pointers in the 1st 9 games in the season, Cavs
(2) 726 consecutive games with 10+ points, LBJ (MJ leads with 866 games, LBJ 3rd.)

[HASHTAG]#letsgocavs[/HASHTAG]

Nilidhani mambo ya marekodi umewaachia wazee wa marekodi [Golden State Wussies]...

Don't jinx 'em now 😀
 
Huyu aingie kwanza kwenye kundi la 10 bora, kabla ya kuanza kutajwa tajwa katika wale wenye uwezo wa kuja kumfunika Kareem Abdul Jabar.

Na curry unamuacha vp
 
McCaw ametubeba sana GSW upande wa Ulinzi katika second quarter...
Nafikiri kijana inabidi aongezewe muda wa kucheza ili azidi kupata uzoefu..!
 
Klay Thompson has a season-high with 30 points. He's hit 11-of-18 from the field (5-of-8 from three)

 
Final [emoji408]

Steph - 30p/6r/6a/2s
Klay - 30p/2r
KD - 29p/9r/5a/2b
Draymond - 14p/7r/11a/3s/2b
 
Reactions: BAK
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…