George Betram
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 4,672
- 6,272
Timberwolves wanachezea SHARUBU za Simba..!
[HASHTAG]#DubNation[/HASHTAG]
Ahahaaaaaah...Wazee wa Superteam leo kuna kila dalili za kupigwa za kupigwa na ATL.
Komaeni lakini.
Ahahaaaaaah...
GSW ni kama maji..!
Kwa jinsi ulivyo na shauku naona hapo ulipo kama hauangalii game basi unachungulia matokeo kila muda mkuu..!
Pia unasubiri kwa hamu kuona GSW anapoteza hii game...
Ahahaaaaaaah...
Muda ndio msema KWELI...
Let's wait and see...
[HASHTAG]#DubNation[/HASHTAG]
Nawaamini Steph,Klay na Kelvin...Mkuu nachungulia matokeo mkuu, vipi kwa tathmini ya game unaona mtatoka?
Nawaamini Steph,Klay na Kelvin...
Hilo ndio jibu langu kwako..!!!
[HASHTAG]#DubNation[/HASHTAG]
Sawa...Poa mkuu, labda hujawajua Atlanta wanachomfayiaga GSW.
Walianza kwa mkwara kweli watu tukawa tunawachora tu teh teh teh..
Ghafla wakaenda kwenye 4 games losing streak, sasa wako kwenye 2 games losing streak.. Next Nuggets..
Sawa...
Leo ndio nitajua...
Pia usiache kunyapianyapia ili ujue matokeo..!
[HASHTAG]#DubNation[/HASHTAG]
Job done..!Jamaa wanambwela 4th quarter!
Job done..!
[HASHTAG]#DubNation[/HASHTAG]
Ahsante mkuu...Hongereni
teh teh mkibahatika kukatiza play offs first round mnaweza kukutana na Memphis..Hahahahha jamani jamani niombee this time nifike final without KD
Giannis Antetokounmpo wa Bucks keshaua mtu huko Milwaukee, Wisconsin...(34 pts in 34 minutes!), Raimundo kimyaaa. Jason Kidd kampiga stop bwana mdogo Tyronn Lue akimwambia not so fast, with or without King!. Mpaka kipenga cha mwisho; Bucks...118, CAVs...101π±π±π±
Ulitazama game lakini? Jana ulikuwa ukiripoti GSW walivyokuwa wakisulubiwa na Hawks lakini leo ukawa kimya ndio nikaona niku beep popote ulipo. Samahani lakini...King alijitahidi sana kuokoa jahazi lakini vijana wa Milwaukee wakakataa kukopesha.Dah noma sana, anyway it's just a regular season game.
JR Smith needs to up his game, though huwa yuko inconsistent, this time namwona yuko consistent on the wrong side.
Ulitazama game lakini? Jana ulikuwa ukiripoti GSW walivyokuwa wakisulubiwa na Hawks lakini leo ukawa kimya ndio nikaona niku beep popote ulipo. Samahani lakini...King alijitahidi sana kuokoa jahazi lakini vijana wa Milwaukee wakakataa kukopesha.