Inafurahisha sana jinsi watu wasivyoelewa vitu. Kuna team iliyowahi kutisha regular season kama Warriors mwaka jana? nini kilitokea playoffs? Eti kama Curry akicheza hivi playoff, nani amekuambia playoffs watu watamuachia hivyo? in a 7 game series, team zinaplan jinsi ya kukuzuia usicheze, zinaplan for the whole month, Great players always play better in playoffs compared to their regular season, Curry regular season stats always become worse during playoffs, why? because wakati wa playoffs teams zinacheza defense ya uhakika, Curry ni one-dimensional when it comes to scoring, ukiweza kumfanya asiwe effective from 3pt line, hakuna anaweza fanya. Yes anaweza ku score layups lakini sio effective kama mfano Kyrie ambaye anaweza ku score kila sehemu, hategemei tu 3pts, Kyrie also has a very sound mid-range game(akiingia ndani ya 3pt line his jumper is as deadly as Shaun Livingston's) plus he's the best finisher around the basket.
Pia Curry sio athletic kama Point guards wengine, Ukimchezea physical playoff defense(kumbuka playoffs kuna defense huwa refa wanaachia ambayo regular season huwa ni fouls) halafu ukamuattack all game anachoka, Ukichoka hauwezi ku-shoot, hivi vyote wakati wa playoffs ndio huwa vinatokea. Ndio maana hata mwaka ambao walishinda championship, Iguodala was their best player and won finals MVP, Last season hata kama wangeshinda Green ndio angekua MVP kwa nini haujiulizi why?
Jinsi GSW wanacheza regular season inawafanya wakifika playoff wanakua tayari wameshacheza their best games during Regular season, teams tayari zimeshaona nini wanaweza kufanya, hakuna kipya zaidi kwa hiyo inachobaki ni kuplan jinsi ya kuwazuia. Play man to man defense on Curry kuanzia akipata mpira akiwa backcourt, unamfanya agawe mpira, then stay infront of him all the time, acha kina Durant ndio wawe playmakers wakati wa offense, go at him attack him, make him play defense, he's not a big guy so inachoishia ni kua he gets bullied mpaka anakua amechoka, this happens for 48 minutes in 7 pressure filled games with the chip on the line: Result? points per game zinashuka, shooting percentage zinashuka, assists zinashuka, turnovers zinaongezeka.
Waache Warriors waendelee kutu entertain wakati wa regular season, that's all i can say