Alegria do povo
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 293
- 441
Mi hukunikumbuka sio [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimemmiss sana Tyta. Otherwise, all is well.
Mi hukunikumbuka sio [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndugu yenu Nzi anazingua sana... Curry always outplaying Russ and Harden lakini jamaa bado hataki kukiri Curry kawafunika hao jamaaJana nimemwona Alegria do povo, Steph Curry, Nyani Ngabu; King Shaat leo ndani, kama kawaida Nzi na Steph Curry utani wa jadi unaendelea.
Taratiiiibu, jukwaa linaanza kurudi kwenye uhai wake, namsubiri Tyta, Mag3 anakuja kwa kuibia ibia sana.
Ha ha haa...strike me pink! eti Mag3 anakuja kwa kuibia ibia sana! Hujambo ndugu yangu Raimundo, yako mambo yalihitaji kushupaliwa kwani ukidharau mwiba, mguu waweza kuota tende. That aside, poleni sana wapenzi wa CAVs, najua kinachowapata na ukitaka kujua zaidi ingia twitter.Jana nimemwona Alegria do povo, Steph Curry, Nyani Ngabu; King Shaat leo ndani, kama kawaida Nzi na Steph Curry utani wa jadi unaendelea.
Taratiiiibu, jukwaa linaanza kurudi kwenye uhai wake, namsubiri Tyta, Mag3 anakuja kwa kuibia ibia sana.
...Russell na the Beard ndiyo MVP contenders this season...kama kuwafunika kunahesabika kwa showdown kati ya GSW na Rockets, na GSW na OKC, basi Curry wins...but regular season ni marathon...wenzake wamefunika msimu mzima, their numbers prove that. They are their teams' real MVPs...na kati yao MVP wa msimu atapatikana..Ndugu yenu Nzi anazingua sana... Curry always outplaying Russ and Harden lakini jamaa bado hataki kukiri Curry kawafunika hao jamaa
Raimundu tupo tunawaona tuVizuri, playoff kicks zinaanza, naona mwaka huu washabiki wa GSWs mlikimbia jukwaa kabisa aisee, siyo kama ule mwaka mlioweka rekodi ya 73-9, kulikuwa hakukaliki humu.
Ila regular season za mwaka huu ziko so quite.
Mkuu huyo jamaa ubishi ni asili yake... Actually nishamjua who he is in real life.. Kuna kipindi nilishabishana nae kule Facebook kwenye maswala ya soka na alichokuwa anakibishia kikaja kutokea in no time..
Fans wenyewe walioko Ohio wana hofu na defense ya timu yao alafu mtu yupo pale Tazara anabishia na kusema wanaoponda ni fans wa Warriors.. Ebu pitia page ya twitter ya Cavs uone wanavyopiga mayoe huko..
unacheki kwa kuptia source ipi bro? mi na2mia live.robinwidget.orgHata kutazama nimeshindwa...timu yangu inanyukwa kisawasawa, masikini GSW!
Niko home court, tunaangalia live...wewe uko wapi?unacheki kwa kuptia source ipi bro? mi na2mia live.robinwidget.org
kwa hio mkuu upo AT&T CENTER? em tupia kapicha kwanza isije ikawa kiki za hamorapa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Niko home court, tunaangalia live...wewe uko wapi?
Hapana, home court yangu ni Oracle, Oakland! Naiona live kwenye local screen.kwa hio mkuu upo AT&T CENTER? em tupia kapicha kwanza isije ikawa kiki za hamorapa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
sijakataa mkuu ila tuma hapa hata kapicha kamoja basi niamini mana si kazi rahisi [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hapana, home court yangu ni Oracle, Oakland! Naiona live kwenye local screen.