King Shaat
JF-Expert Member
- Aug 30, 2013
- 863
- 835
Dah, Rest in Peace, Craig Sager!
[HASHTAG]WeWillMissYouSager[/HASHTAG]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili game Knicks vs GSW Carmelo na Derrick Rose wangekuwepo lingekua tamu sana, hawapo ila madogo wanajitahidi kukaza nilitegemea wawe blown out hadi sasa.
???🙁Wataalamu tuwekeen washind wa Leo tukampige unhind
Nakusalimu ndugu???🙁
Nipo ndugu yangu...tukitoka kwenye stress ya kumpigania ndugu yetu Maxence Melo tunarudi nyumbani hapa hapa, kuwashangilia the Dubs. Najua Raimundo hapendi lakini sasa tufanyeje? "Mapenzi ni kikohozi, hayawezi kufichana", aliimba marehemu Edward Masengo miaka ya 50s na 60s...najua kwa wengi hiyo dunia ni geni kabisa.Nakusalimu ndugu
Hahahahahahaha nimecheka mnoo.. kwamba wapo hata waliopata kuimbaNipo ndugu yangu...tukitoka kwenye stress ya kumpigania ndugu yetu Maxence Melo tunarudi nyumbani hapa hapa, kuwashangilia the Dubs. Najua Raimundo hapendi lakini sasa tufanyeje? "Mapenzi ni kikohozi, hayawezi kufichana", aliimba marehemu Edward Masengo miaka ya 50s na 60s...najua kwa wengi hiyo dunia ni geni kabisa.
.. kuwashangilia the Dubs. Najua Raimundo hapendi lakini sasa tufanyeje? "Mapenzi ni kikohozi, hayawezi kufichana", aliimba marehemu Edward Masengo miaka ya 50s na 60s...
Hahahahahahaha nimecheka mnoo.. kwamba wapo hata waliopata kuimba
Hii Xmas si ajabu ikatukumbusha machungu yaleee...uwanja wa Quicken Loans Arena huenda ukakimbiwa tena!Heshima kwenu wakuu, kwa nini nichukie wewe kuwashangilia the Dubs mkuu?
Michezo bila upinzani si michezo, na hata hivyo mabingwa unawajua, na unajua nini waliwafanya The Dubs!
Hii Xmas si ajabu ikatukumbusha machungu yaleee...uwanja wa Quicken Loans Arena huenda ukakimbiwa tena!
![]()
Ni hatari tupu!
Hapana nakumbuka hii...!Ha ha ha, sasa nakumbushwa machungu yapi?
Hayo ni matokeo ya game ya mwisho kukutana hapo Quicken Loans Arena.
View attachment 448836
Hapana nakumbuka hii...!
![]()
Kama kuna mchezo nimeufurahia ni wa jana kati ya Warriors na Nets. Mpaka HT Nets walikuwa mbele kwa 65-45 na kila moja akawa anasema leo Warriors wamelala! Cha ajabu ni kwamba mimi hata sikuwa na wasi wasi lakini mwenzangu akanikumbusha pengo la kukosekana kwa Green.Yaani ile Le Bron kukaa bench jamaa wanapunguza gap kama la 10 points.
Duh!
Kwa wapenzi wa NBA msisahau leo mchapo wa nguvu repeatition ya 2016 NBA Finals kati ya CAVS na Warriors kuanzia 11.00pm EAT. Kwa maoni yangu pamoja na Warriors kumpata KD lakini CAVS wanaonekana tishio zaidi mwaka huu kuliko walivyokuwa msimu uliopita ulinganisha na GSW.
Sijui kukosekana kwa JR leo kutawaathiri vipi CAVS. Huyu kafanyiwa operesheni ya kidole gumba cha mkono wa kulia na inasemekana atakuwa out for 14 weeks.