Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Narudia, hii Cavs hamna kitu nadhani unajionea mwenyewe.
Hata ikitokea bahati mbaya wakapita kwa pacers hawawezi shinda EC.
Sasa Pacers is leading, Cavs finna blow this.
Bado una imani na hii Cavs? Naposema hamna timu hapa nielewe mkuu, Cavs haina bench na players wengine viwango vimeshuka vibaya mnoIndiana wins the game by 92 to 90.
Cavs upepo umekata second half.
Bado una imani na hii Cavs? Naposema hamna timu hapa nielewe mkuu, Cavs haina bench na players wengine viwango vimeshuka vibaya mno
Bora watoke sasa kuliko wakaze wapite wawe swept na raptors.
The only good thing this about losing in the first round Ni kwamba itampa LBJ hasira za kuondoka kwenda kwenye timu zinazojielewa.
Naona somo limekuingia umeanza kukubali. Tatizo sio James, tatizo ni teammates wake, LBJ kama LBJkiwango bado kipo, umri is yet to catch up with him, ni LBJ huyu huyu last game alicheza 40 mins na kutupia 40points.LeBron umri umeenda, quarter za mwisho ana struggle sana.
Na kama hivi supporters ni totally mediocres nawaona kabisa Cavs wanaondoka mapema.
Naona somo limekuingia umeanza kukubali. Tatizo sio James, tatizo ni teammates wake, LBJ kama LBJkiwango bado kipo, umri is yet to catch up with him, ni LBJ huyu huyu last game alicheza 40 mins na kutupia 40points.
Bball is a team sport. LBJ can't win it all by himself everytime, anahitaji msaada ambao kwa sasa Cavs haupo na kocha wao Lue bado mchanga hajui. LBJ akienda timu kama Philly au Spurs anayoweza pata msaada believe me you wanabeba championship.
Cleveland ni tofauti sababu yeye aliongoza ila akafungwa.Indiana Pacers...92
Cleveland Cavs...90
Washington Wizards...122
Toronto Raptors.........103
Milwaukee Bucks...116
Boston Celtics.........92
Hali ndiyo hiyo, playoffs za mwaka huu hazina mfano huko nyuma. Kaazi kweli kweli!
Na hiyo imeuma zaidi kwani mashabiki wa CAVS walishaanza kusherehekea ushindi ugenini. Ukweli ni kwamba mwanzoni Pacers walionekana kucheza kwa wasi wasi mno na iliwachukua muda mrefu kutulia. Kama CAVs watapoteza mchezo unaofuata wasahau kabisa kuvuka huu mzunguko wa kwanza kwani hata LeBron mwenyewe ameonekana kukata tamaa. Nakiri mimi kuwa mshabiki kama walivyo wengine ingawa mimi naangalia zaidi style na trend.Cleveland ni tofauti sababu yeye aliongoza ila akafungwa.
Timu kama wizards na bucks zimeingoza na kushinda game ila Cavs upepo ulikata, 4th qtr pacers tied the game na kushinda.
Na bora wasivuke sasa sababu huko mbele timu Kama Philly au raptors zitawavua nguo, wanaweza kuwa swept.Na hiyo imeuma zaidi kwani mashabiki wa CAVS walishaanza kusherehekea ushindi ugenini. Ukweli ni kwamba mwanzoni Pacers walionekana kucheza kwa wasi wasi mno na iliwachukua muda mrefu kutulia. Kama CAVs watapoteza mchezo unaofuata wasahau kabisa kuvuka huu mzunguko wa kwanza kwani hata LeBron mwenyewe ameonekana kukata tamaa. Nakiri mimi kuwa mshabiki kama walivyo wengine ingawa mimi naangalia zaidi style na trend.
Nzi