Mimi kama shabiki wa Warriors ningefurahi kama Portland hatolewi leo tupate muda mrefu wa kupumzika iwapo kesho tunam-sweep San Antonio.Muda huu Blazers na snitch Dame ni win au go home!Naiombea ipigwe sweep tu Portland
Kama playoffs zote zitakuwa so physical, safari hii kuna kazi. Kwa leo technical zimeshafika nne na flagrant ni mbili na mambo ndio baaado kabisa. Sasa ni haltime na Pelicans wanaongoza kwa 58-56. Je Blazers watachomoa? Hilo ndilo swali linaloumiza kichwa kwani leo wakilala ndio tena wasubiri 2018/2019!
Mimi kama shabiki wa Warriors ningefurahi kama Portland hatolewi leo tupate muda mrefu wa kupumzika iwapo kesho tunam-sweep San Antonio.
Nilijua hawa Sixers ni wazuri lakini sikutegemea kabisa washinde michezo miwili Miami. Heat will go home in 5.
Sixers wapo vizuri, hawatoshinda championship this season ila wanapotential. Mimi naombea Cavs watolewe hii first round, LBJ asepe zake aende Philly, akienda huko championship ni uhakika.
Kuna rumours pia anaweza kwenda Lakers yeye na Paul George wa OKC. Niliwahi kusikia kule Los Angeles kishaweka vitega uchumi vyake.
Bado dakika mbili Timberwolves wako mbele kwa pointi kumi na sita 118-102! Ni hatari sana.Ikiwa bado dakika tano na nusu Timberwolves wanaongoza kwa 108-90 dhidi ya Rockets! Je Minnesota nao watakataa kukubali nyumbani kwao?
Jazz wamemaliza washindi kwa 115-102
OKC watakalishwa chini na Jazz na hawa Milwaukee wanafanya juhudi ya kutie hii series 2-2
Milwaukee nao kama ilivyo safari hii wamefanya vyao nyumbani kwao na sasa ni 2-2! Hebu tusubiri tuwaone Warriors nao kama wataweza kuwafungasha virago Spurs nyumbani kwao!OKC watakalishwa chini na Jazz na hawa Milwaukee wanafanya juhudi ya kutie hii series 2-2
Yap yap......nawaona spurs wanashinda hii game 4 leo!Naona Quarter ya pili hii wanaongoza dhidi ya Warriors.
I doubt it, Spurs nao wamekataa...nyumbani hapana!GSW will win this game.
Washington nao wakataa kwa Toronto...Wizards yaizamisha Raptors 106-98 na sasa wako sawa 2-2, duh! Ngoja sasa tushuhudie Cleveland na Indiana wanavyochuana...je LeBron atachomoa au ndio CAVs nao mbio zao zinaelekea ukingoni?