Circumstances change, Lakers, Boston Cs, Bulls ya MJ, Bad Boys Detroit Pistons, etc hizi zote zitakuja na claim ya namna hii.
Floor general huyo...Rondo mtu mbaya saaan!4 points ila hizo Assists za kumwaga
Nikiangalia toka Curry amerudi naona kama it just hurts tge Warriors rather than helping them.
Juzi mwishoni mwa game mambo yalianza kwenda ndivyo sivyo na leo naona biashara haija lipa
Rondo alipewa kazi moja tu, kum-bait D. Green wa GSW wakijua anavyochemka haraka na hivyo kukosa umakini na kwa kiwango fulani alifanikiwa.Rondo mtu mbaya saaan! 4 points ila hizo Assists za kumwaga
Rondo alipewa kazi moja tu, kum-bait D. Green wa GSW wakijua anavyochemka haraka na hivyo kukosa umakini na kwa kiwango fulani alifanikiwa.
Uliona ile game 1 walivo cheza kwa system yaan ile game walipiga.He will adapt, ile ni timu yake jamaa.
Rondo alicheza ki old skulRondo alipewa kazi moja tu, kum-bait D. Green wa GSW wakijua anavyochemka haraka na hivyo kukosa umakini na kwa kiwango fulani alifanikiwa.
Subiri tuone usiku huu game itakuwaje ila nina uhakika wanakuja na hasira leo KD ataua mtuUliona ile game 1 walivo cheza kwa system yaan ile game walipiga.
Sema steph akisha adopt vzuri hakuna wa kuifunga warriors
Kesho hiyoSubiri tuone usiku huu game itakuwaje ila nina uhakika wanakuja na hasira leo KD ataua mtu
Uliona ile game 1 walivo cheza kwa system yaan ile game walipiga.
Sema steph akisha adopt vzuri hakuna wa kuifunga warriors
Nasubiri ya 76ers tuu hapaMara nyingi mchezaji anapokuwa nje kwa kipindi kirefu timu ina adjust system mpya, anapokuja anaanza upya.
Ila in 2 to 3 games atakaa kwenye system.
Mi naangakia ya hao tuuGame bado dakika 10 tu...leo sijui kama ntalalaView attachment 767398
HahahaGame kali ila naona kama celtic anashinda
Hahaha
Braza hi defence ys cektics siyo ya mchezo
Brad stevens is a coach asee.