Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,215
- 3,076
Magic wamejikomboa 76 - 75...kijana M Pietrus ni mkali!
We still have a ball game.
Nnayo mashaka kama Magic wanaweza kutuliza kitenesi wakati inapo-matter..walishindwa kufanya hivo kwenye G2. Sijui lakini tusubiri tuone.
Hapa leo patamu wazee
Fisher kapiga three!!!!...Game tied at 87...duh!!!!
4.6 secs to go Orlando ball.
hapa wataenda overtime maana kweli its raining threes
Hapo ndipo unapoona umuhimu wa cool heads na ukomavu na experience..lol