Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
who are you rooting for?[/QUOTE
I'm the one who knows Lakers.
Damn you...I knew it
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
who are you rooting for?[/QUOTE
I'm the one who knows Lakers.
Damn you...I knew it
Championship is mostly likely now for Lakers.
Kinachowasaidia LAL ni kuwa karibu kila mchezaji ana step-up game yake when it matters. From Gasol, Kobe, Fisher, Ariza, Odom, Walton na hata sometimes Bynum naye. Magic are just not there kuwa timu inayostahili kuitwa bingwa. Haina cutting edge na hawapo clinical kabisa. Wapo wapo tu, na hii series imewafunua macho kujua kiwango chao halisi.
I wish it was the Cavaliers...they would have matched up good with the Lakers
Mazee unajua udhaifu wa Cavs ulificha udhaifu wa Magic, watu wakaanza hata kuwapa matumaini ya ku-match up na LAL. Lakini series ilipoanza tu wameonesha bado hawana ukomavu na hawana attitude ya u-champ.
walifika kwa miujiza hao.Gasol na Kobe show..lol. Huyu sijuk Reddick sijui nani anashindwa hata ku-dribble..aaaarggh..hivi walifikaje finali hawa jamaa?
Hivi mchezaji kama Nelson anawezaje kupata airtime ..huyu Alston ingawa sio wa kiwango cha hivyo nadhani yupo ahead of this dude..
Kwenye basketball kuna playing time...airtime ni kwenye mambo ya broadcasting..
Hawa walima machungwa bana!! wakati wanaanza walikuwa na sijui lead ya 9 points Lakers walivyorudi mpaka within 3 points nikaacha kufuatilia.