Ndyo mkuu nimekuzoea Kule kweny majukwaa ya mataga na sukuma gang [emoji2][emoji2]Hahahahahaha eti Mzee wa Serikali lol! [emoji23][emoji23][emoji23]
Mi naona Dub nation...warriors...wako vzuriMsimu huu Nets wana nafasi kubwa ya kubeba
Majeruhi tu labda ndo yawafelishe..
Sure...Mdogo mdogo
Ndyo mkuu nimekuzoea Kule kweny majukwaa ya mataga na sukuma gang [emoji2][emoji2]
Aah Team Kevin Durant n James Harden midevu wapo vizuri Sana tatizo huwaga majeruhiMi naona Dub nation...warriors...wako vzuri
Na huyu kyrie Irving bhana mi hua namwona kama bado hajitumi ili tuipate potential yake yote...He is Lazy some how....Aah Team Kevin Durant n James Harden midevu wapo vizuri Sana tatizo huwaga majeruhi
Hao Dub Nation sidhani Kama watafika ata finals[emoji23]
Dub nation wako poa, Thompson is back igoudala nae karud....they can challenge kwa kweli..Aah Team Kevin Durant n James Harden midevu wapo vizuri Sana tatizo huwaga majeruhi
Hao Dub Nation sidhani Kama watafika ata finals[emoji23]
Karbu mkuu kweny uzi wetu wa Ballerz....tufarijiane.Niko kote kote Mkuu. Hapo hujagusa mambo ya debe.
Karbu mkuu kweny uzi wetu wa Ballerz....tufarijiane.
Galactico wa Basketball hao...still watu wa kuwapa matokeo wapo...Msimu unaanza rasmi Jumatano ijayo lakini Brooklyn tayari wako kwenye disadadvantage.
@BAK vp we unaonaje ...irving yuko sahihi au ni kosa anafanya kugomea chanjo...Jamaa kagomea chanjo inaweza kumgharimu $30 millions.
Ila kumbuka irving ndio hivyo haeleweki..Msimu huu Nets wana nafasi kubwa ya kubeba
Majeruhi tu labda ndo yawafelishe..
Kweli ila bado wanaWATUIla kumbuka irving ndio hivyo haeleweki..
Kuwa honest giannisLeo ni Birthday ya mwanetu pierce
He inspired me to play and love Basketball...View attachment 1973313
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] swali la mtego hili kkaKuwa honest giannis
Wade vs Pierce
Who is better..
Obviously mzee mi ntaenda kwa pierce...a mentorKuwa honest giannis
Wade vs Pierce
Who is better..