Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Watch out mzee dub nation wame mature sana na young players waoAah Team Kevin Durant n James Harden midevu wapo vizuri Sana tatizo huwaga majeruhi
Hao Dub Nation sidhani Kama watafika ata finals[emoji23]
Hawafiki kokote haoNawapenda NETS lkn wasiwasi wangu ni kwamba, makambale ni wengi kwenye Team, (K.D, Kyrie, Harden na Griffin) hii sometimes inaweza athiri spirit ya Teamwork.
Wamejaa veteran majeruhi mkononoLakers nao si wabaya kihivyo japo naona awapewi sana nafasi msimu huu
Ukubwa dawa mkuu,tuwaombee injury zisiwaandame kama last seasonLakers wastaafu [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Vp nani atabeba bossFInal ABC na PAZI
ABC watashinda.FInal ABC na PAZI
Game ni tough ila pazi nawapa nafasiVp nani atabeba boss
Kweli kabisa,, tunakuwa wavivu sana wa kufanya mazoezi ya shots.Alafu wabongo tuna poor shot accuracy..yani wana rusha rusha tu mipira..tunategemea luck.
Haha, alafu unakuta jamaa anajiita star wa kitaa..Kweli kabisa,, tunakuwa wavivu sana wa kufanya mazoezi ya shots.
Unaweza shangaa mtu inapewa free throws hata kumi af unapata mbili tu.
[emoji3]Haha, alafu unakuta jamaa anajiita star wa kitaa..
@BAK vp we unaonaje ...irving yuko sahihi au ni kosa anafanya kugomea chanjo...
Safi mkuuNi nyingi ila tutaanza zile basic...
-hauwezi kukimbia au kutembea na ball bila ya kuudunda. (Ref atasimamisha na kuwapa mpinzani mpira)
-tofauti na football, mpira wa basket utajulikana uko nje endapo tu utagusa chini nje ya mstari ..ila ukivuka mstari wa nje lakini upo juu hauwesabiki uko nje.
-ukishavuka mstari wa kakati wakati ukiwa na ball..haupaswi kurudi nyuma ya mstari wa kakati ukiwa na mpira. (Ref atasimamisha na kuwapa mpinzani)
-ukiugusa mpira na mguu wakati unakaba basi ni kama hesabika kama handball kwenye football.
-Endapo utacheza rough( kugonga ubavu, kugonga mikono) pale mpinzani anaenda kufunga basket..basi itaitwa foul... then mpinzani aliefanyia rough atarusha mitupio miwili. Ila kama ulimfanyia rough na akajitahidi akafunga ..then mpinzani atapanta na foul ila atarusha mtupio mmoja.
Etc......
Time out zinakuwa sita je ni kwa kila timu au?Mchezo wa Basketball unachezwa ndani ya vipnd 4...vnaenda kwa majna ya quarter na kila quarter ina dakika 12
Basketball inachezwa na wachezaji wa 5 kwa kila upande.
Inaruhusiwa kubadil wachezaji wote wa 5 .
Kocha anaruhusiwa kuomba mchezo usimame ili aongee na wachezaji wake (tunaita Time Out)
Timu yoyote yenye
1 giannis
2lebron
3 Durant
4 curry
Ni championship contender
"Time out" haina ukomo mkuu.Time out zinakuwa sita je ni kwa kila timu au?
Mmhh sawa maana me nimeanza kufatalia basket kwa kubet saa naonaga option ya time out over 6 na under 6"Time out" haina ukomo mkuu.
Mwalimu anaweza kuita mara nyingi apendeleavyo.
Mkuu nimefatilia hili na ni kweli nimeona kumbe kuna ukomo wa "Time outs".Mmhh sawa maana me nimeanza kufatalia basket kwa kubet saa naonaga option ya time out over 6 na under 6