..........World cup tena naisubiria kwa hamu..........kababy ndio kameanza kurusha rusha mateke kwa mbaliii. Pili pili nakula sana tu na candies kwa sana.
welcome to the TD GARDEN.................
naona KG kaanza na moto leo!
Speed waliyoanza nao Celtics si ya kawaida....duh!
its gonna be a long night for LA
Wakulu duru ya kwanza ndio imewadia.
It is sad kwamba between Miami and Celtics, one of them will not see the next round..Sad sad sad..
Ok, pesa yangu naiweka kwa mabingwa watetezi, wakishindwa sana Magic will be waiting for any slippery.
its gonna be a long night for LA
It's gonna be a long night for Celtics
Allen hawezi kupiga 3pts kila siku, leo wanaumizwa vibaya, Go LA
Nipo mzee...utabiri bado upo palepale..umekimbia baada ya kuhisi utabiri wako utakurudi......
usitukane mamba kabla hujavuka mto,bado 3/4 to go...........
Nipo mzee...utabiri bado upo palepale..
Unataka ku-bet?