BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
..........World cup tena naisubiria kwa hamu..........kababy ndio kameanza kurusha rusha mateke kwa mbaliii. Pili pili nakula sana tu na candies kwa sana.
Ni furaha iliyoje kuyafeel mateke ya kiumbe kingine kinachokuwa ndani ya mwili wako. Unabaki kushukuru tu kwa Muumba wetu. Kila la heri.