NBA Playoffs 2009/2010: Where's Your Money At?

NBA Playoffs 2009/2010: Where's Your Money At?

Leo KG amejitahidi Celtics walianza vizuri then wakabweteka,LA watarudi Staples Center wakiongoza 3-2.
 
Celtics wanataka kumpa dollar 50 yangu abdulhalim jamaa noma kweli wanashindwa ku-fight nyumbani?
 
Paul Pierce alisema hatarudi tena LA, sijui atasemaje baada ya game la leo. Mpaka sasa nina uhakika game limeisha na LAL wanachukua game 3.
Huyo Bwana nae game lake la kubahatisha sana siku hizi~yaani amekuwa mtu wa kuvizia sana. Celtics wameshai-blew up hii series.
 
Celtics wanataka kumpa dollar 50 yangu abdulhalim jamaa noma kweli wanashindwa ku-fight nyumbani?
Series inaeza isirudi Staples Center kabsaaa..

NB: Bado nachagua mvinyo unaofaa kwa ajili ya occasion.
 
Haya wanajamvi game 4 ndio imeanza hivyo! Niko hewani.
 
naona leo Pierce anacheza vizuri, anatamani kurudi Staples Center, hahaha!
 
naona leo Pierce anacheza vizuri, anatamani kurudi Staples Center, hahaha!

Atarudi tu maana kwa nature ya hizi games zilivyo tight, hakuna timu ambayo ina uhakika wa kushinda games mbili mfululizo (back to back). Kurudi LA ni must.
 
Atarudi tu maana kwa nature ya hizi games zilivyo tight, hakuna timu ambayo ina uhakika wa kushinda games mbili mfululizo (back to back). Kurudi LA ni must.

That's true, lakini LAL wanaweza kushinda hii ya leo, lakini game 5 itakuwa ngumu zaidi.
 
That's true, lakini LAL wanaweza kushinda hii ya leo, lakini game 5 itakuwa ngumu zaidi.

wanaweza kushinda lakini wanatakiwa kuwa makini sana 3rd q. kutokana na game zilizopita wapinzani huwawazuri sana kwenye hii 3rd.
 
Ubishoo wa Kobe ndio umewapa chance Celtix sekunde za mwisho. Zile pasi mkaa kwa ajili ya 'NBA top 10' sijui zilikuwa za nini? Mwe!
 
Peasant,

Sina imani sana na Lakers, ngoja nisubiri mpaka quarter ya mwisho. Maana leo naona PP anatesa, ameongeza offensive effort. Lakini apunguze fouls, japo kuna moja alibambikiwa. Akishaingia kwenye foul trouble Cs watakuwa na matatizo maana offense ya leo inaongozwa na PP. Akilamba foul za kutosha atakuwa amewasaidia LAL kupunguza vikapu, maana Ray Allen bado mambo si mazuri, KG yuko off na Rajon Rondo amekosa lay ups kama tatu au nne hivi. Lakini kwa upande wa defense naona leo Cs wako vizuri.
 
Peasant,

Sina imani sana na Lakers, ngoja nisubiri mpaka quarter ya mwisho. Maana leo naona PP anatesa, ameongeza offensive effort. Lakini apunguze fouls, japo kuna moja alibambikiwa. Akishaingia kwenye foul trouble Cs watakuwa na matatizo maana offense ya leo inaongozwa na PP. Akilamba foul za kutosha atakuwa amewasaidia LAL kupunguza vikapu, maana Ray Allen bado mambo si mazuri, KG yuko off na Rajon Rondo amekosa lay ups kama tatu au nne hivi. Lakini kwa upande wa defense naona leo Cs wako vizuri.

Good analysis Keil, tuko pamoja.
 
gm 3/4 ni disappointment......both teams produced very very poor perfomances.............
 
leo mbona siwaoni washabiki wa Celtics jamvini??!!!!!
 
Back
Top Bottom