Sasha Fierce
JF-Expert Member
- Feb 7, 2009
- 361
- 5
LOL...just be careful. Wa-ATL wanapenda "Dawg fighting." isitoshe wengi wao ni ma-Evander Holyfield. Wasije wakakufanya punching bag.
Si umeona mwenyewe, Nyani Ngabu idol wake ni Kimbo Slice
LOL...just be careful. Wa-ATL wanapenda "Dawg fighting." isitoshe wengi wao ni ma-Evander Holyfield. Wasije wakakufanya punching bag.
Si umeona mwenyewe, Nyani Ngabu idol wake ni Kimbo Slice
Hehehehehee...si bora mimi Kimbo....wewe idol wako nani? Brian "Gay" McKnight......
Hebu tafuta youtube video ya Kimbo uone jinsi anavyorusha mkono.....
Icadon uko wapi sasa? Sasha anataka kwenda kununua skinny jeans aivae akija kukutembelea....ushindwe wewe tu sasa
No skinny jeans siyo ya sasa hivi hadi NBA pLAyoff itakapoisha maana nina bet na QM.Akinilipa ndiyo nakwenda kununua skinny jeans ya kuvaa nikija kumuona bwana Icadon.
LOL...just be careful. Wa-ATL wanapenda "Dawg fighting." isitoshe wengi wao ni ma-Evander Holyfield. Wasije wakakufanya punching bag.
Ooh No you didn't!!! ushaisahau motto ya ATL? City too busy to HATE...babu vipi ushaingiwa na wasi wasi wa kulose nini (heat kwa ATL na bet yako kwa Sasha)?
Hilo la MIA vs ATL wala halina ubishi. ATL wamekamilika zaidi ya MIA. Nitakuwa surprised kama MIA wakipita.
Mbona ile bet imeshaisha hata kabla haijaanza. Bibie Sasha ameniweka benki tu hamsini yangu. Lakers mwisho wao ni kwa Rockets.
Kuna kila dalili QM atajipatia $200 za haraka haraka 🙂 maana ukiondoa Kobe wacheza wengine wote hawakuwa impressive katika round ya kwanza, labda watajirekebisha katika round inayofuata.
Naona unakimbia bet kijanja sasa ushaona hatari siyo?.Vipi resecion imekukumba nini?.
No skinny jeans siyo ya sasa hivi hadi NBA pLAyoff itakapoisha maana nina bet na QM.Akinilipa ndiyo nakwenda kununua skinny jeans ya kuvaa nikija kumuona bwana Icadon.
Hilo la MIA vs ATL wala halina ubishi. ATL wamekamilika zaidi ya MIA. Nitakuwa surprised kama MIA wakipita.
Mbona ile bet imeshaisha hata kabla haijaanza. Bibie Sasha ameniweka benki tu hamsini yangu. Lakers mwisho wao ni kwa Rockets.
Babu endelea na ubishi wa ATL, mambo ya Lakers yaache kabsaaa
Babu endelea na ubishi wa ATL, mambo ya Lakers yaache kabsaaa
Icadon unasikia lakini hayo....wee zubaa zubaa tu...kwanza shukuru Yo Yo hizi siku mbili tatu hajaonekana hapa maana angekuwa tayari keshatupa ndoana....
Unaweza kujiunga kwenye bet na wewe. Nikishinda, nakusanya hamsini kutoka kwa kila mmoja wenu. Nikishindwa nawalipa hamsini kila mmoja wenu. Karibu.
Ila utani pembeni Lakers wamejijenga upya baada ya Shaq kwa kifupi wanatisha.
I am in!
Hapo kwenye red, hawezi kucheza kwenye Turf yangu. Ila sasa kwa nini utataka kuficha hiyo miguu mirefu kwenye skinny jeans..? just curious.
Ila utani pembeni Lakers wamejijenga upya baada ya Shaq kwa kifupi wanatisha.
dont judge a book by its cover tukae na tusubiri tuone itakuwaje.Ila bado nina imani na Lakers.msiwatiriye uchuro jamani.