Leo chama langu(Hawks) linamtoa mtu nishai. Hujambo lakini Sasha?
QM najua hapo MIA mna wasi wasi tuu.
Hahahaha duh, hata mie nimeona jinsi chama la mundeli, Hawks (Mabitozi) walivyomtoa mtu nishai jana! LOL...
Kutakuwa na game 7even tonight in The Big Beantown, usikose kuangalia, Celtics kiulaiiiiini.......!😀
Naona mmepita hehehe...haya kazi kwenu na Orlando.
Very dissapointing game for Miami,i am getting so irritated.
I know... lakini wanaweza ku-pull thru. They are only 10points down with 1.5 quarter to play.
Is this the QM i know au huyu ni mtu mwingine maana i just want to be on same page.
About Miami naona waanza kuja kuja taratibu lakini wanaenda kipindi cha nne hicho wako nyuma for 16 points,miami better work harder,i can't wait to hear Icadon maana atajigamba sana thi is what Icadon will say "I TOLD YOU SO".
Very dissapointing game for Miami,i am getting so irritated.
Heheheheheee....wuuuuuuuuusssaaaaaaaa......
Sasa bring on Jabroni...ooops....LeBron
Yep! Same QM...nimerefusha tu jina langu "tukufu."
Sidhani kama watakuja. Nimesha wa-count off. Nimebakia na homestate timu moja tu sasa...Orlando. I hope watawahenyesha Boston kama walivyofanya Chicago.
Heheheheheee....wuuuuuuuuusssaaaaaaaa......
Sasa bring on Jabroni...ooops....LeBron
Haaaaa....ushindi wa fluke tu huo....
Usifurahise sana ni bahati nasibu tuu hiyo.Haya msubirini huyo King James mwenye matatoo kila kona ya mwili wake.Ana kufuru maana dini hairuhusu tatoos.
Oh well there is no hope kabisa alafu game ina bore kinoma.Ni afadhali iishie kabisa.
OH FYI-(Out of topic)imepata sms sasa hivi kuwa---=Kuna msiba DC mahadia (for those who went o IST)amefiwa na mama yake hapahapa USA.
Hii series na-side kwa Nuggets kwa sababu mbili kuu:Nasubiria tuu game ya Maverick na Nuggets i think coming up next.hopefully hii itakuwa off the hook.
Hii series na-side kwa Nuggets kwa sababu mbili kuu:
1) Mavericks wameitoa timu yangu "short-handed" Spurs
2) Of the two, Nuggets ndio inayoweza kuichachafya Lakers kama wakipata bahati ya kupita kwa Rockets...
Mahadia ndio nani?
Alafu Nuggets ni wagomvi kila siku.so gangstar.
Ndio maana naichagua Nuggets kupita. Watawapiga makwenzi wale pretty boys wa Lakers mpaka basi. Halafu si unajua wakazi wa Denver bado wana hasira na Kobe kwa ile kitu aliyomfanyia yule girl nextdoor wao!!
demu si alijipendekeza mwenyewe....halafu demu mwenyewe alikuwa bonge la loose....