NBA Playoffs

NBA Playoffs

Status
Not open for further replies.
Game ipo leo pale BankNorth Garden, mabingwa watetezi (sisi) tunawamwaga kinyesi Dwight Howard na wakulima wenzake toka orlando! Game time ni 8pm EST......

In Boston, we alwayz believe! Go Celtics!😎

Bingwa, yaani unaamini Cel-tits watawanyuka Orlando? Kweli naona huko kwenye njozi....

Halafu nani kakudanganya Orlando ni wakulima? Hebu uje huku tukupandishe kwenye mabembea ya ma-disney na ma-universal kama mtoto mdogo...lol Huku Florida hatujui jembe ni nini...huku ni mambo ya ku-hang beach tu...lol
 
Bingwa, yaani unaamini Cel-tits watawanyuka Orlando? Kweli naona huko kwenye njozi....

Halafu nani kakudanganya Orlando ni wakulima? Hebu uje huku tukupandishe kwenye mabembea ya ma-disney na ma-universal kama mtoto mdogo...lol Huku Florida hatujui jembe ni nini...huku ni mambo ya ku-hang beach tu...lol

Eti mabembea? Very Brian McKnightish....Lol
 
Eti mabembea? Very Brian McKnightish....Lol

Hahaha umemshitukia eh?

Uko FLA ukicross tuu stateline unaanza kuona michungwa kibao, ukivuka tuu Valdosta ukaingia Lake City mpaka Gainsville FL ni michungwa tuu imejazana.
 
Bingwa, yaani unaamini Cel-tits watawanyuka Orlando? Kweli naona huko kwenye njozi....

Halafu nani kakudanganya Orlando ni wakulima? Hebu uje huku tukupandishe kwenye mabembea ya ma-disney na ma-universal kama mtoto mdogo...lol Huku Florida hatujui jembe ni nini...huku ni mambo ya ku-hang beach tu...lol

Kwanini tuandikie wino wakati mate yapo? Ni chini ya dakika 45 kipute kitaanza, hata mwaka jana hasa kwa finals na Lakers, nay sayers kama wewe mlisema vivyo hivyo....

Orlando porini tu, machungwa, zabibu, mastaferi, embe ng'ong'o, mihogo na viazi vitamu vinatoka wapi kama sio huko kwenu?? Jogoo la shamba aliwiki mjini.....

Go Celtics!!
 
Eti mabembea? Very Brian McKnightish....Lol

Tatizo lako wewe unaendekeza undava... ndio maana watu kama brian unawaona ni soft. Dizaini enzi zako ulikwa ukipigwa buti unatangaza vita na demu...demu kila akiona inabidi atoke mkuku, maana utamwangushia kibado.
 
Tatizo lako wewe unaendekeza undava... ndio maana watu kama brian unawaona ni soft. Dizaini enzi zako ulikwa ukipigwa buti unatangaza vita na demu...demu kila akiona inabidi atoke mkuku, maana utamwangushia kibado.

Ila si ulisikia kuwa huyo Brian McKnight anawapiga wanawake?
 
Hahaha umemshitukia eh?

Uko FLA ukicross tuu stateline unaanza kuona michungwa kibao, ukivuka tuu Valdosta ukaingia Lake City mpaka Gainsville FL ni michungwa tuu imejazana.

Icadon, hizo sehemu ulizozitaja ni sehemu ndogo tu ya FL. Orlando, Tampabay, na Miami ni mambo ya goodtime tu... Yaani huku ni mambo Daytona Beach, South Beach, na Clearwater Beach tu...
 
Kwanini tuandikie wino wakati mate yapo? Ni chini ya dakika 45 kipute kitaanza, hata mwaka jana hasa kwa finals na Lakers, nay sayers kama wewe mlisema vivyo hivyo....

Orlando porini tu, machungwa, zabibu, mastaferi, embe ng'ong'o, mihogo na viazi vitamu vinatoka wapi kama sio huko kwenu?? Jogoo la shamba aliwiki mjini.....

Go Celtics!!

Ha haaaa yaani Cel-tits nusura watolewe kamasi na Bulls. Halafu unafikiri watapita kwa Dwight Howard & crew?
 
Icadon, hizo sehemu ulizozitaja ni sehemu ndogo tu ya FL. Orlando, Tampabay, na Miami ni mambo ya goodtime tu... Yaani huku ni mambo Daytona Beach, South Beach, na Clearwater Beach tu...

Hizo sehemu zote ulizozitaja wamejaa wavuvi na sitashangaa na wewe ukiwa mmoja wao na kingalawa chako...
 
Icadon, hizo sehemu ulizozitaja ni sehemu ndogo tu ya FL. Orlando, Tampabay, na Miami ni mambo ya goodtime tu... Yaani huku ni mambo Daytona Beach, South Beach, na Clearwater Beach tu...

Babu nilipiga mashine kutoka ATL mpaka South Beach uko, pitia Orlando, teremka mpaka chini, kila mtu mitaa ya kwenu uko ana rasta utadhani umeenda NOLA.
 
Orlando porini tu, machungwa, zabibu, mastaferi, embe ng'ong'o, mihogo na viazi vitamu vinatoka wapi kama sio huko kwenu?? Jogoo la shamba aliwiki mjini.....

Hahahahahaaa...ona unavyozijua ingredients za mipombe michafu....kwanza usikute tayari uko chicha saa hivi....
 
Babu nilipiga mashine kutoka ATL mpaka South Beach uko, pitia Orlando, teremka mpaka chini, kila mtu mitaa ya kwenu uko ana rasta utadhani umeenda NOLA.

Ahahahahahahaa...halafu ukiwauliza wanakwambia either ni Hatian, Bahamian, au Jamaican kama sio Cubano
 
Hahahahahaaa...ona unavyozijua ingredients za mipombe michafu....kwanza usikute tayari uko chicha saa hivi....

Ungejua hata usingekuwa unaropoka kama mpiga debe wa daladala anaembembea kete ya brown sugar!! Game linakaribia kuanza, tuwatoe nishai wakulima wa machungwa....
 
Ungejua hata usingekuwa unaropoka kama mpiga debe wa daladala anaembembea kete ya brown sugar!! Game linakaribia kuanza, tuwatoe nishai wakulima wa machungwa....

Unaona....hujabisha kama hizo siyo vilivyomo kwenye mipombe yako michafu. Haya angalia boli....i
 
Tatizo lako wewe unaendekeza undava... ndio maana watu kama brian unawaona ni soft. Dizaini enzi zako ulikwa ukipigwa buti unatangaza vita na demu...demu kila akiona inabidi atoke mkuku, maana utamwangushia kibado.

Ouch! Ndio maana yule Layla wa Shabaan Roberts alimkimbia, jamaa ana mambo ya ki-loooong kichizi yaani, siku si nyingi Cuppy nae ata mmwaga tu...watch!
 
Ouch! Ndio maana yule Layla wa Shabaan Roberts alimkimbia, jamaa ana mambo ya ki-loooong kichizi yaani, siku si nyingi Cuppy nae ata mmwaga tu...watch!

Wewe mbona unaombea Cuppy anitose? Cuppy haendi popote...kwangu ndio Kigoma mwisho wa reli. Kafika...haendi mbele wala harudi nyuma.

Umeona miguu ile lakini? Heheheheheheheee....
 
Unaona....hujabisha kama hizo siyo vilivyomo kwenye mipombe yako michafu. Haya angalia boli....i

Mie hamsa salawati, nasigda tochi m$#nge..nikinywa pombe napata m-rxn kama mtu anaetumia antabuse!! Kama hujaelewa nenda ka-google....😎

Kipute ndio kinaanza sasa.....
 
Mie hamsa salawati, nasigda tochi m$#nge..nikinywa pombe napata m-rxn kama mtu anaetumia antabuse!! Kama hujaelewa nenda ka-google....😎

Kipute ndio kinaanza sasa.....

Too bad sielewi lugha za kilevi na walevi......
 
Wewe mbona unaombea Cuppy anitose? Cuppy haendi popote...kwangu ndio Kigoma mwisho wa reli. Kafika...haendi mbele wala harudi nyuma.

Umeona miguu ile lakini? Heheheheheheheee....

Kwa akili mbovu hu-deserve kabisa kuwa na "mchumba" kama yule, wewe anakufaa WOS na lile wig lake...hahahahaha i cant wait siku utakayomwagwa, nitafanya mzinga wa party yaani!

Umeona block ile ya Perkins? Halafu leo nikulitia jenda heka Dwight Howard kwa foul trouble mapemaaaaaaaaaaaaaa....
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom