Icadon
JF-Expert Member
- Mar 21, 2007
- 3,581
- 193
Sasha aunge tela lako aanze kushangilia Hawks maana hao Lakers ni hoi bin taaban
A lil bird told me she secretly supports Hawks.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasha aunge tela lako aanze kushangilia Hawks maana hao Lakers ni hoi bin taaban
Ahahahahahaaa....duh! Kumbe jamaa alikuwa boy wa Mponjoli? Ahahahahaa...ndio maana jamaa yuko sensitive kaa demu na mambo yake ya ki Brian McKnight. Watu kama hawa ndio zile dizaini za "kulia" akiachwa na demu....kwikwikwiiiiiiiiiiiiiii
Demu kama mzuri ndani na nje, hata mie nikitemwa nitalia!! Kama kuniita "soft" na mniite, lakini siwezi kuachwa na bonge ya totoz ninaloli-feel halafu nikajifanya ugumu wakati naungua rohoni!!
Hivi wewe ukitemwa na Cuppy hutalia?? Kama yes, basi kumbe hujamzimia kivile kabisa...LOL
Mwanamume kulia ni feminine! Mwanamume unatakiwa ku man up na sio kujiliza liza. Hivi Princess wangu akinijia na kuniuliza "why are you crying daddy"? nitamwambia nini? Kwamba nimeachwa na Cuppy wangu? What the hell bro...
Cuppy akinitema sitalia kwa sababu sina mazoea ya kulia lia au kujiliza liza plus nina ma confidence ya ajabu kuwa haitachukua muda nitaopoa top notch totoz ingine.
Ni watu kama wewe msiojiamini ndio mtalia lia kwa vile unajua itakuwa mbinde kwako kupata demu kama huyo aliyekutosa.
Sikatai kwamba itanisumbua lakini sitalia kama ndio mwisho wa dunia na bila huyo demu basi I have nothing else to be thankful for or be happy for. Shoot...life goes on.
Kwa hiyo hayo ya kulia lia nakuachia wewe na Brian QueEmu McKnight na maybe Icadon(?)...Lol
Hehehe naona unaspeculate lol, kulia hiyo ni ngumu kidogo, wengine kumove on sio tatizo, bibie akikutosa basi unatafuta mwingine unabounce back si unajua bad boys tena, lakini ukiwa weakling kila siku utaanza za "baby please, take me back lets work this out". Undava/ujuba/ugumu kwenye mapenzi nao hausaidii inabidi uwe una balance. Mpaka dakika hii Sasha hajaonekana hehehe!!
Nimespeculate kwa vile nilikuwa sina uhakika na wewe....
Na ni kweli undava hauna nafasi kwenye mahusiano
Vyote vyote undava na unyonge havina nafasi kwenye mahusiano inabidi ujifunze kubalance. Leo vipi kwa Cavs tutatoka?
Bwahahahahahahaha, alikuwa Dallas anambebea koti Mponjoli!! Wakati watu wanaangalia game ndani, yeye alikuwa anakaa nje kupiga chabo ya Po-po wasiwapige ambush...LOL
ndio maana jamaa yuko sensitive kaa demu na mambo yake ya ki Brian McKnight. Watu kama hawa ndio zile dizaini za "kulia" akiachwa na demu....kwikwikwiiiiiiiiiiiiiii
Kama nilivyosema jana, tatizo lako wewe ni kuendekeza tabia ya undava (wakati inawezekana moyoni huko soft kama ky jelly). Watu kama nyinyi huwa mki-breakdown mnanyong'onyea mpaka mnatia huruma.
Hakuna tatizo lolote kwa mwanaume kutoa chozi (ingawaje Kuhani atapinga). We're all humans with full of emotions and feelings...
Mwanamume kulia ni feminine!
Sikatai kwamba itanisumbua lakini sitalia kama ndio mwisho wa dunia na bila huyo demu basi I have nothing else to be thankful for or be happy for. Shoot...life goes on.
Kwa hiyo hayo ya kulia lia nakuachia wewe na Brian QueEmu McKnight na maybe Icadon(?)...Lol
Kwa hiyo wewe endelea kuniita Brian tu...usijerusha ngumi tu....shauri yako.
Yawezekana wewe umeshawahi kulia baada ya kuachwa na demu? Kweli au uongo? Lol
You got it right. Mimi nilikuwa kama wewe..
Tsk tsk tsk tsk tsk .
Mmejidai kuniulizia ulizia weee and then nimekuja mnajidai kukimbia why?Mnadhani nitalia machonzi Kwa kufungwa na Houston? tsk tsk tsk tsk hapana aisee ile ni first game na tulikuwa tumewaachia tuu angalia game 2.
I am a big girl,(big girls dont cry)
Mie nimekuulizia kwa sababu nimekumiss hao wengine watakuwa walikuulizia kwa sababu za kiushabiki.
**What do big girls do?