NBA Playoffs

Status
Not open for further replies.
Ahahahahahaaa....duh! Kumbe jamaa alikuwa boy wa Mponjoli? Ahahahahaa...ndio maana jamaa yuko sensitive kaa demu na mambo yake ya ki Brian McKnight. Watu kama hawa ndio zile dizaini za "kulia" akiachwa na demu....kwikwikwiiiiiiiiiiiiiii

Demu kama mzuri ndani na nje, hata mie nikitemwa nitalia!! Kama kuniita "soft" na mniite, lakini siwezi kuachwa na bonge ya totoz ninaloli-feel halafu nikajifanya ugumu wakati naungua rohoni!!

Hivi wewe ukitemwa na Cuppy hutalia?? Kama yes, basi kumbe hujamzimia kivile kabisa...LOL
 

Mwanamume kulia ni feminine! Mwanamume unatakiwa ku man up na sio kujiliza liza. Hivi Princess wangu akinijia na kuniuliza "why are you crying daddy"? nitamwambia nini? Kwamba nimeachwa na Cuppy wangu? What the hell bro...

Cuppy akinitema sitalia kwa sababu sina mazoea ya kulia lia au kujiliza liza plus nina ma confidence ya ajabu kuwa haitachukua muda nitaopoa top notch totoz ingine.

Ni watu kama wewe msiojiamini ndio mtalia lia kwa vile unajua itakuwa mbinde kwako kupata demu kama huyo aliyekutosa.

Sikatai kwamba itanisumbua lakini sitalia kama ndio mwisho wa dunia na bila huyo demu basi I have nothing else to be thankful for or be happy for. Shoot...life goes on.

Kwa hiyo hayo ya kulia lia nakuachia wewe na Brian QueEmu McKnight na maybe Icadon(?)...Lol
 

Hehehe naona unaspeculate lol, kulia hiyo ni ngumu kidogo, wengine kumove on sio tatizo, bibie akikutosa basi unatafuta mwingine unabounce back si unajua bad boys tena, lakini ukiwa weakling kila siku utaanza za "baby please, take me back lets work this out". Undava/ujuba/ugumu kwenye mapenzi nao hausaidii inabidi uwe una balance. Mpaka dakika hii Sasha hajaonekana hehehe!!
 

Nimespeculate kwa vile nilikuwa sina uhakika na wewe....

Na ni kweli undava hauna nafasi kwenye mahusiano
 
Nimespeculate kwa vile nilikuwa sina uhakika na wewe....

Na ni kweli undava hauna nafasi kwenye mahusiano

Vyote vyote undava na unyonge havina nafasi kwenye mahusiano inabidi ujifunze kubalance. Leo vipi kwa Cavs tutatoka?
 
Sasha Fierce, where are you? Pole sana kwa matokeo ya jana, labda hatutaona NBA final ambayo kila mpenzi wa Baskteball anayoitaka kuiona kati ya MVP King James and Cleveland na Kobe Bryant alias Black Mamba and the Lakers. Maybe Lakers they don’t have the ability to dance with Yao Ming and Houston. The next game is very crucial for the Lakers, Kobe must be Kobe in order to win that game, he needs to drop at least 50 points or more, otherwise the struggle will continue. Kobe can’t win without SHAQ ha ha ha. We’ll see.
 
Vyote vyote undava na unyonge havina nafasi kwenye mahusiano inabidi ujifunze kubalance. Leo vipi kwa Cavs tutatoka?

Oh yeah....my gut feeling is telling me wata come through...
 
Bwahahahahahahaha, alikuwa Dallas anambebea koti Mponjoli!! Wakati watu wanaangalia game ndani, yeye alikuwa anakaa nje kupiga chabo ya Po-po wasiwapige ambush...LOL

Ha haaaa funny! Acha hizo, mimi sijawahi kuwa kwenye entorouge ya "Dr." 2001 nilikuwa huko kijiji kimoja Texas napiga buku la jinsi ya kulima machungwa. Nilikuwa naibuka Dallas wakati wa gulio tu.

ndio maana jamaa yuko sensitive kaa demu na mambo yake ya ki Brian McKnight. Watu kama hawa ndio zile dizaini za "kulia" akiachwa na demu....kwikwikwiiiiiiiiiiiiiii

Kama nilivyosema jana, tatizo lako wewe ni kuendekeza tabia ya undava (wakati inawezekana moyoni huko soft kama ky jelly). Watu kama nyinyi huwa mki-breakdown mnanyong'onyea mpaka mnatia huruma.

Hakuna tatizo lolote kwa mwanaume kutoa chozi (ingawaje Kuhani atapinga). We're all humans with full of emotions and feelings...
 

Yawezekana wewe umeshawahi kulia baada ya kuachwa na demu? Kweli au uongo? Lol
 
Mwanamume kulia ni feminine!

Unaona sasa....mzizi wa tatizo lako unaanzia hapa.

Sikatai kwamba itanisumbua lakini sitalia kama ndio mwisho wa dunia na bila huyo demu basi I have nothing else to be thankful for or be happy for. Shoot...life goes on.

Kumoyo kuluma!!!! Moyo ukikuuma kwa kupigwa chini ndo kulia kwenyewe huko. Nani kakuambia kulia lazima utoe machozi?

Dizaini wewe ndo wale mamaa akikuambia "Nakupenda" mbele za watu unajibu "ahsante" au unakausha kwa kuogopa kuonekana soft. Kwako wewe kujielezea (kuji-express) kimapenzi kwenye kadamnasi ni ishara ya kuwa soft.

Kwa hiyo hayo ya kulia lia nakuachia wewe na Brian QueEmu McKnight na maybe Icadon(?)...Lol

LOL! Naona nshakuwa Brian sasa... nyimbo za yule mjuba zinampumbaza kishtobe yoyote yule. Hebu kaangalie kwenye collection ya cuppy wako kama hakuna CD ya Brian. Kwa hiyo wewe endelea kuniita Brian tu...usijerusha ngumi tu....shauri yako.
 
Kwa hiyo wewe endelea kuniita Brian tu...usijerusha ngumi tu....shauri yako.

Hahahahahahaaa...Cuppy anapenda wanamume ambao ni wanamume...sio nyie mlio softie softie...kwa hiyo wala hautaweza kunikosesha usingizi.
 
Yawezekana wewe umeshawahi kulia baada ya kuachwa na demu? Kweli au uongo? Lol

You got it right. Mimi nilikuwa kama wewe...mpaka siku nilipopigwa chini na highschool sweetheart wangu. Nilivumilia kama siku mbili hivi bila ya kutoa a single chozi. Siku ya tatu, wakati niko maliwatoni nimezubaa, kufumba na kufumbua, nikajikuta uso umejaa mijichozi ya huba. Toka siku hiyo nikagundua kuwa haya mambo ya mapenzi bana hayana cha mwanamke wala mwanaume...sote ni kasheshe tu..
 
You got it right. Mimi nilikuwa kama wewe..

Nope! Hukuwa kama mimi. Ungekuwa kama mimi usingelia kama mwanamke. Haya wewe endelea kulia. Mimi sitalia ng'ooo nikiachwa na demu.
 
Tsk tsk tsk tsk tsk salaam alyekhum bandugu!...haya kunaendelea nini.na sitaki kusikia anything leo about Lakers maana i am morning.
 
Mmejidai kuniulizia ulizia weee and then nimekuja mnajidai kukimbia why?Mnadhani nitalia machonzi Kwa kufungwa na Houston? tsk tsk tsk tsk hapana aisee ile ni first game na tulikuwa tumewaachia tuu angalia game 2.

I am a big girl,(big girls dont cry)
 

Mie nimekuulizia kwa sababu nimekumiss hao wengine watakuwa walikuulizia kwa sababu za kiushabiki.

**What do big girls do?
 
Mie nimekuulizia kwa sababu nimekumiss hao wengine watakuwa walikuulizia kwa sababu za kiushabiki.

**What do big girls do?

Musee wa Mob City naona danadana mingiiiiiiii....LOL!! Usije kulia tu siku ukimwagwa!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…