NBA Playoffs

NBA Playoffs

Status
Not open for further replies.
It is team game, pamoja na kuwa Celtic wana wacheza wazuri sana kukosekana KG one of the big three ni pengo kubwa sana ambalo inadhaniwa lilimsababisha hata meneja wao apate minor heart attack aliposikia kwamba KG hatakuwa available kwenye playoffs. Bulls wakitulia basi wanaweza kabisa kuwatoa Celtics hata jana waliponea tundu la sindano. Huu ni mwaka wa Kobe lakini inabidi acheze katika kiwango cha hali ya juu sana dhidi ya King James and Clevaland hasa ukitilia maanani King James ana Home court advantage na walipoteza mchezo mmoja tu nyumbani katika regular season.

Hilo ndiyo tatizo unakumbuka walisema kukosekana kwa shakili kutaleta kushuka kwa kiwango cha kobe?lakini wapi kobe ndiyo alikuwa moto zaidi.KG kaweka pengo tuu lakinis iyo kwa sababu yeye hayupo ndiyo timu haifanyi vizuri.

LOL!.Huyo kingo james amekshakutana na Kobe 2 if not 3 times na zote walipigwa chini unakumbuka hiyo.so hata wakifika finals kama wanacheza na larkers cavalier wameumia lakers wana wachezaji wazuri sana kuna kale katoto Ariza the guy is s humble and very quite sijui ana girlfriend yule?anybody?
 
Na jumamosi iile maverick si waliwatengeza wao?.Maverick walikuwa wazuri zamani nadhani sasa wamechoka.

Kama ikiwezekana watu inabidi tu bet money hapa

where willt he amazing happen this year?Mimi nasema Larkers who wanna bet with me $200.00.

Sasha,

I'd love to place a bet, lakini hiyo amount mbona kubwa hivyo? Yaani na credit crunch yote hii, hiyo $200 si itauma mpaka nyongoni. LOL

Mimi nafikri tufanye kati ya $20-50....
 
Sasha,

I'd love to place a bet, lakini hiyo amount mbona kubwa hivyo? Yaani na credit crunch yote hii, hiyo $200 si utauma mpaka nyongoni. LOL

Mimi nafikri tufanye kati ya $20-50....


tsk tsk tsk tsk ok done deal $50.00 basi.Najua na hii resecion mimba.

usije tuu ukanigeuka m2wangu.Nitakukaba kabali miye mchaga tena mmachame napenda sana pesa.
 
Sasha,

I'd love to place a bet, lakini hiyo amount mbona kubwa hivyo? Yaani na credit crunch yote hii, hiyo $200 si utauma mpaka nyongoni. LOL

Mimi nafikri tufanye kati ya $20-50....

Mbona unaikimbia hiyo $200 ya haraka haraka! 🙂. Sasha Fierce usibase your arguments kutokana na Lakers kuwafunga Cleveland 2 times during regular season. Bado nasema kwamba Lakers wanadvamte kutokana na experience kubwa waliyokuwa nayo, lakini inabidi their best player KB acheze katika kiwango cha hali ya juu ili kuhakikisha ushindi vinginevyo itakuwa kazi ngumu mno.
 
Mbona unaikimbia hiyo $200 ya haraka haraka! 🙂. Sasha Fierce usibase your arguments kutokana na Lakers kuwafunga Cleveland 2 times during regular season. Bado nasema kwamba Lakers wanadvamte kutokana na experience kubwa waliyokuwa nayo, lakini inabidi their best player KB acheze katika kiwango cha hali ya juu ili kuhakikisha ushindi vinginevyo itakuwa kazi ngumu mno.


Bubu sasa hivi game ndiyo imeanza i mean this is a really game ambayo kila mtu alkuwa anasubiria.Trust me sasa ndiyo utamuona who is KB,Huu ni wakati wa kuonyesha kile kiwango chake na kuwathibitishia wale wote wanaoona kuwa huyo King james ni better than him,which i disagree with that.King James hawezi kwanza ananiudhi he got too much ego man.Sema kobe anangozi ya kambale kila mtu ana mhate yeye hadi media ila he will prove his haters wrong.

Ile mechi ya juzi na Jazz of course hakucheza kwa kiwango ch ajuu we all knew Jazz hawawezi funga larkers.
 
tsk tsk tsk tsk ok done deal $50.00 basi.Najua na hii resecion mimba.

usije tuu ukanigeuka m2wangu.Nitakukaba kabali miye mchaga tena mmachame napenda sana pesa.

Poa. Kwa hiyo bet ni kwamba wewe una-side Lakers na mimi nina side any other timu but Lakers. Right?

By the way, nimesha "deal" na wamachame. Kwa hiyo najua sana vurugu zao...
 
Mbona unaikimbia hiyo $200 ya haraka haraka! 🙂.

Kwa usawa huu, inanibidi nipige box masaa 60 kwa wiki ili nifikishe hiyo mia mbili. Sasa hiyo si jasho la wiki mbili kabisa. Isitoshe imekuwa mbinde kweli kupata daywork. Kila nikijihimu kupanga mtari kwa ofisi za Labor Ready, wamexico wananipiga bao.. Ku-lose mia mbili si mchezo...
 
Poa. Kwa hiyo bet ni kwamba wewe una-side Lakers na mimi nina side any other timu but Lakers. Right?

By the way, nimesha "deal" na wamachame. Kwa hiyo najua sana vurugu zao...

tsk tsk tsk umenifurahisha sana inaelekea huyo mmachame wako hjamnunulia frigi la mbeho ndiyo maana akakuletea vurugu otherwise mawachame tupo very alright.

yes mimi na side na Lakers ooh no inabidi u-choose timu moja siyo unakuwa na multiple teams hiyo inakuwa siyo bet.

wenzio wanapata kwa sababu ni bilingual si unajua mekikano hawachagu kazi? wewe tatizo lako unachagua kazi ndiyo maana unakosa day waka.
 
tsk tsk tsk umenifurahisha sana inaelekea huyo mmachame wako hjamnunulia frigi la mbeho ndiyo maana akakuletea vurugu otherwise mawachame tupo very alright..

Wamachame acha bana... huyo niliye deal nae alikuwa mkorofi sijapata ona. Yaani kwanza cellphone book yangu yote aliikopi kwenye cellphone yake. Basi ilikuwa kasheshe kila akikuta namba mpya kwenye simu yangu. Bado sijazungumzia jinsi alivyo-sneak kwenye apartment yangu na kujificha chini ya uvungu wa kitanda changu usiku kucha....kisa eti anifumanie!! Anyways...

yes mimi na side na Lakers ooh no inabidi u-choose timu moja siyo unakuwa na multiple teams hiyo inakuwa siyo bet.

Ishu ni kwamba wewe uko 100% sure kwamba Lakers watabeba. Na mimi niko 100% sure kuwa Lakers hawatabeba.

Kwa hiyo, bet ni kwamba: Lakers yes (wewe) - Lakers no (mimi).

Bet imekamilika

wenzio wanapata kwa sababu ni bilingual si unajua mekikano hawachagu kazi? wewe tatizo lako unachagua kazi ndiyo maana unakosa day waka.

Mbona mimi wala sichagui kazi. Tatizo Chikano huwa wanalala pale pale mlangoni pa Labor Ready. Kwa hiyo hata ukifika saa 11 asubuhi, utawakuta tayari namba ishajaa... lol
 
Wamachame acha bana... huyo niliye deal nae alikuwa mkorofi sijapata ona. Yaani kwanza cellphone book yangu yote aliikopi kwenye cellphone yake. Basi ilikuwa kasheshe kila akikuta namba mpya kwenye simu yangu. Bado sijazungumzia jinsi alivyo-sneak kwenye apartment yangu na kujificha chini ya uvungu wa kitanda changu usiku kucha....kisa eti anifumanie!! Anyways...

tsk tsk tsk tsk umenifanya nimekaa hapa najaribu kumtafakari huyo mmachame wako alivyokuwa anajificha chini ya uvungu wa kitanda,yaani hata kile kipindi cha cheaters hawaoni ndani kwa kweli.Unless otherwise unamsingizia dada wa watu.Mpaka demu afanye hivyo basi wewe lazima ulikuwa big time player si bure.No bulls no bias ila demu wa kimachame aku-stalk?no way wamachame tunajiamini sana.



Ishu ni kwamba wewe uko 100% sure kwamba Lakers watabeba. Na mimi niko 100% sure kuwa Lakers hawatabeba.

Kwa hiyo, bet ni kwamba: Lakers yes (wewe) - Lakers no (mimi).

Bet imekamilika

basi kamani hivyo inabidi tupande bei that is very true miye nipo 100% lakers wanachukua ubingwa this year.Inabidi nikutumie checking account yangu mapemaaa.



Mbona mimi wala sichagui kazi. Tatizo Chikano huwa wanalala pale pale mlangoni pa Labor Ready. Kwa hiyo hata ukifika saa 11 asubuhi, utawakuta tayari namba ishajaa... lol

sasa kwa nini na wewe usidamke mapema kama wao.kwa usawa huu m2wangu inabidi ulale jicho moja wazi hii ni kama unavyokimbilia sale walmart kwenye ile doorbust.
 
Bubu sasa hivi game ndiyo imeanza i mean this is a really game ambayo kila mtu alkuwa anasubiria.Trust me sasa ndiyo utamuona who is KB,Huu ni wakati wa kuonyesha kile kiwango chake na kuwathibitishia wale wote wanaoona kuwa huyo King james ni better than him,which i disagree with that.King James hawezi kwanza ananiudhi he got too much ego man.Sema kobe anangozi ya kambale kila mtu ana mhate yeye hadi media ila he will prove his haters wrong.

Ile mechi ya juzi na Jazz of course hakucheza kwa kiwango ch ajuu we all knew Jazz hawawezi funga larkers.


Truly speaking I love Kobe Bryant 😉 He is very talented and hardworking, lakini ujue kwenye hizo NBA finals inabidi Kobe apewe pia assignment ya kumguard King James na King James pia atamguard KB. King James ninavyomuona mimi hana ego yoyote ni mtu simple kabisa. Kwa mara nyingine tena nasema Lakers wanaweza kabisa kushinda lakini inabidi wote wacheze katika kiwango cha hali ya juu ili kuwakabili King James and Cleveland. Itakuwa ni final ambayo itawavutia watu wengi sana na hivyo kuweza kabisa kuvunja rekodi ya wale watakaongalia mechi hizo kupitia TV.
 
basi kamani hivyo inabidi tupande bei that is very true miye nipo 100% lakers wanachukua ubingwa this year.Inabidi nikutumie checking account yangu mapemaaa.

C'mon Sasha, hamsini inatosha. Stipulations ziko clear. Are you in?
 
QM,Uliona vitu vya lakers jana?yaani ni 2-0 so far do you still wanna bet tsk tsk tsk.It was a great game compared to ile ya detroit na cavalier detriot wanafungwa kama watoto daaah!.

Babu atakakusema, so far mpaka jana Kobe bado hajakuridhisha how do you define kiwango chake cha jana?.Hata charles Barkley jana kasema Lakers are playing to win and they will win.you watch them,come to think about this right kila team kwenye hizi playoff wanakuwa wanamtegemea mtu mmoja akiumia ujue team itakwenda mrama check out Lakers babu yake kuna Kobe,Fisher,Odom,alafu kijana Ariza watu weeeh.do you have anything to say?
 
Game ya jana ya Hawks na Miami sikuiona sijui matokeo yalikuwaje.

Naona Kesho Detroit na Cleverland ita suck tuu kama ya jumamosi Detroit wameshachoka sasa.
acha kupenda michezo migumu migumu itakukomaza usivutie.......wewe shabikia pool table na dats
 
QM,Uliona vitu vya lakers jana?yaani ni 2-0 so far do you still wanna bet tsk tsk tsk.It was a great game compared to ile ya detroit na cavalier detriot wanafungwa kama watoto daaah!.

Lakers wanawaonea vibonde Jazz. Ngoja wakutane na majibaba. Kuhusu bet yetu, ni wewe tu... Mi' niko tayari
 
Lakers wanawaonea vibonde Jazz. Ngoja wakutane na majibaba. Kuhusu bet yetu, ni wewe tu... Mi' niko tayari

Bet yetu bado ina stand still..its a done deal.

tsk tsk tsk majibaba kama akina nani?.kwa mtazamo wako kuna tema yeyote west itakayo weza kwenda bega kwa bega na LAkers?

think wise!

lol...lol🙂

Sorry i meant Bubu.typing error

acha kupenda michezo migumu migumu itakukomaza usivutie.......wewe shabikia pool table na dats

Athletic!
 
QM,Uliona vitu vya lakers jana?yaani ni 2-0 so far do you still wanna bet tsk tsk tsk.It was a great game compared to ile ya detroit na cavalier detriot wanafungwa kama watoto daaah!.

Babu atakakusema, so far mpaka jana Kobe bado hajakuridhisha how do you define kiwango chake cha jana?.Hata charles Barkley jana kasema Lakers are playing to win and they will win.you watch them,come to think about this right kila team kwenye hizi playoff wanakuwa wanamtegemea mtu mmoja akiumia ujue team itakwenda mrama check out Lakers babu yake kuna Kobe,Fisher,Odom,alafu kijana Ariza watu weeeh.do you have anything to say?

Sijasema kwamba kiwango chake ni kidogo. Nilichosema ni kwamba Clevelanda wana home advantage throughout the playoffs na mwaka huu wamepoteza mchezo mmoja tu kwao, ukilinganisha na Lakers ambao wamepoteza more than one game in LA. Kwa hiyo ili kushinda inabidi wacheze katika kiwango cha hali ya juu zaidi ili kuifunga Cleveland kwao in order to be able to steal home court advantage, vinginevyo hawawezi kuchukua kombe bila kufanya hivyo. Pamoja na hayo Lakers wana advantage kubwa sana ya experience kwa kuwa wameshiriki playoofs mara nyingi ukilinganisha na Cleveland. Kumbuka kwenye mchezo wowote ule chochote kinaweza kabisa kutokea 🙂
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom