NBA Playoffs

Status
Not open for further replies.

Hahahahaaa..don't worry Cuppy. I got this one. Anajifanya ananijua kitu ambacho kwa kweli ni kichekesho kushinda hata ile video aliyobandika Yo Yo hapa.

Na mchallenge kama anadhani ananijua, ataje mimi ni nani na niko wapi na ninafanya nini maana kila kitu mpaka sasa anachodai ni hola!!

Bwana YNIM, the floor is yours. Tell everything that you "think" you know about me...everything that si gonna mortify me....say it....
 
 
- Wakulu wangu Nyani na YNSIM inatosha kwa leo, turudi kwenye NBA playoff!

Respect kwa wote wawili. Haya wakuu leo Boston na Magic vipi game 5?

FMEs!

Let not your heart be troubled my friend. I got this. Ngoja nimfundishe dogo adabu. Atajuta kwa nini kaanzisha zali....
 
 

Nani alieanza ku-act kama anamjua mwenzake!? Nani alieanza kutaja kazi ya mwenzake (supposedly) hapa kwenye board, nani ana mwita mwenzake mlevi kila siku!? Ni nani hasa anaejifanya kujua sana maisha ya mwingi....you guess it right, ni wewe hapo!!Watu wamekuachia sana, na mie pia nimekuvumilia sana, lakini mitusi yako ya mapema leo nikasema basi na iwe mwisho.....kaa mbali na mimi, acha kufuatilia maisha ya watu na uanze ku-take care business zako hasa unyumba na sio kushinda JF kutwa kucha!!! Kamongo mkubwa we....
 

Heheheheheheheeee.....nimekugusa leo eeeh....ahahahahahahaaa swaaaaafi sana. Sasa ukome.

Halafu Kishoka anaingiaje hapa? Mchungaji wa watu hana hata time na wewe lakini umekomalia kutaja jina lake au na yeye huwaga unamuota usiku?

Eti nikae mbali na wewe....puhleaze...naona unajiongelea mwenyewe hapo bwa'mdogo.
 
 
 

Hujamgusa mtu yeyote, ila mie ndio nimepata kisa cha kukutolea uvivu...sidhani kama utarudia tena kunitukana mtu kama mimi ******* wewe, ambae huwezi kumridhisha demu wako mpaka madume mengine yanakusaidia! Yote hiyo ni kwasababu ya kushinda JF 24/7.....
 

Nani huyo demu wangu si umtaje basi kama unajua? Nimekupa ruhusa...au rukhsa...mtaje huyo demu wangu ambaye simridhishi. Mtaje mtaje huyo demu wangu.

Eti sitarudia tena kukutukaana. Okay, mboga ya majani ya babu yako mzaa babako. Now what bibi YNIM? Au recourse yako ni kukimbilia kwa Invisible?
 
 
Jamaa ana hasira utadhani nimemchukulia demu wake bana...lol

Ila kweli jamaa aache hasira na wivu...
kimemsibu nini huko alipo? maana jamaa kama moto wa kifuu from nowhere kalianzisha....
 
 
kimemsibu nini huko alipo? maana jamaa kama moto wa kifuu from nowhere kalianzisha....

Kaishiwa school fees kwa hiyo wamemkatalia kujiandikisha kwenye madarasa ya mwaka ujao wa masomo...sasa atakuwa out of status na kurudi bongo hawezi. Umenisoma?
 
Jamaa ana hasira utadhani nimemchukulia demu wake bana...lol

Ila kweli jamaa aache hasira na wivu...

Nani akuonee wivu mtu kama wewe bana aaaagh, wivu kwa kushinda JF 24/7, wivu kwa huo umbea wako na majungu? wivu kwa kukaziwa mkeo? wivu kwa kulea mtoto wa Tyrone? wivu kwa hiyo mitusi unayotukana hapa JF? Wivu gani sasa nikuonee wewe.....? au siku hizi neno wivu lina maana nyingine?? Fafanua...
 

Pole na shida za maisha. Kaza buti na usikate tamaa. Piga double double utapata angalau hela ya kutosha kujiunga na ka Community college
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…