NBA Playoffs

Status
Not open for further replies.

- Wasingeweza bila Michael Jordan, lakini wengeweza bila Pipen, Grant, au Rodman. Hawa walionekana kwa sababu ya Michael Jordan, lakini Michael Jordan hakuonekana kwa sababu ya hao wachezaji wengine hii ni fact na sio opinion!

FMEs!
 

Rudia tena nilichoandika....kisome mara mbili mbili labda utaelewa nilikuwa na maana gani. Sawa Bubu?
 

Hizo rings za KB zilitokana na juhudi za SHAQ na yeye KB akiwa mmoja wa supporting players wa SHAQ. Na mwaka huu pia yeye na wenzie kwenye finals they have to raise their levels otherwise inaweza kuwa repeatition kama ya mwaka jana, "Kobe can't win without SHAQ."
 

- Mkuu Bubu, ninakuaminia to be bigger than this, Kobe ana Three rings Lebron hana hata moja, ni ubingwa ndio una-count sio anything else.

Thanxs and Out.

Respect.

FMEs!
 
FMES,Nyani,Bubu-Ataka-Kusema,

..nadhani Lebron anatumia maguvu tu muda mwingi anapokuwa uwanjani.

..Kobe inabidi atumie akili na ujanja mwingi zaidi kulinganisha na Lebron.

..halafu timu nyingi zina defensive schemes maalum kwa ajili ya Kobe Bryant. unaweza kukuta kuna mchezaji maalum wa kumkaba Kobe, na zaidi kuna defensive scheme ya kum-bailout mchezaji huyo.

..zaidi, waamuzi wako biased sana against Kobe Bryant. Nugget wali-commit flagrant fouls tatu[Dantey 2 na Melo 1] dhidi ya Kobe, lakini wakawa-charged na moja tu.
 
- Mkuu Bubu, ninakuaminia to be bigger than this, Kobe ana Three rings Lebron hana hata moja, ni ubingwa ndio una-count sio anything else.

Thanxs and Out.

Respect.

FMEs!

Muulize yoyote anayeijua Basketball hata legends akina Barkley, MJ, Dr J, Magic Johnson, Ewing na wengineo wengi kama King James yuko over rated. Na wote utaona hawakubaliani na dhana yako kwamba King James yuko overrated. Michael Jordan ilimchukua miaka sita kuja kupata ubingwa wake wa kwanza na hakuna hata siku moja kuna mtu alitamka kwamba Air Jordan alikuwa overrated, bali kilichosemwa ni kwamba supporting players aliokuwa nao hawakuwa wazuri.

Ewing, Karl Malone, Barkley na wengi wengineo hawakuwahi kuchukua ubingwa wa NBA lakini hata siku moja hawawezi kuwekwa katika kundi la overrated players kwa sababu ya kutopata ubingwa. Na siku zote mchango wao mkubwa katika basketball utaheshimiwa na wengi na wote ni legends of the game. Ingekuwa kama kinacho count ni ubingwa tu basi hawa wangedharaulika tu katika circles za Basketball lakini ukweli ni kwamba wanaheshimiwa sana kwa contribution yao.
 
wewe a james wako kaeni jukwaani muangalie watu wanaojua basketball wakicheza......yaani mlianza matusi makubwa ya kumlinganisha kid james na Michael jordan.......mnafaa mpewe server ban
 
wewe a james wako kaeni jukwaani muangalie watu wanaojua basketball wakicheza......yaani mlianza matusi makubwa ya kumlinganisha kid james na Michael jordan.......mnafaa mpewe server ban

Ha ha ha ha LOL! Go ahead and do it! 🙂 🙂 🙂
 
Nasikia Queen James jana alizira hata kuongea na waandishi wa habari kama ilivyo desturi
 
- Hamna la kuongeza tena hapa, ubarikiwe tu!

FMEs!



Joe Smith of Cleveland and Rashad Lewis of Orlando have more authority to speak in regards to King James' perfomance than YOU. Please hear them out! 🙂

ORLANDO, Fla. (AP) -- LeBron James walked off the court, head down, brushing off a few pieces of confetti. He ignored the few taunts by Magic fans and took one last look at the crowd without muttering a word.

Not to anyone.

A scintillating series by the NBA's MVP was washed away by his not-so-supporting cast, as the Cleveland Cavaliers were eliminated Saturday night with a 103-90 loss to the Orlando Magic in Game 6 of the Eastern Conference finals.

James dressed quickly in the locker room, put on headphones and went to the team bus without talking to reporters. In obvious frustration, he let his play do all the talking.

James had 25 points, seven rebounds and seven assists in his least spectacular game of the series. He went scoreless in the second quarter, allowing the Magic to go ahead by 18 points at the half with little help from teammates.

"We can't put it all on him," Cavs forward Joe Smith said. "He needs some help.

James averaged more than 38 points, eight rebounds and eight assists for the series, performances that are almost unmatched in league history. But he is starving for a wingman.

Still.

All-Star Mo Williams was supposed to provide James with a go-to scorer. The Cavs were counting on Delonte West to be a prominent shooter under pressure, and a healthy Zydrunas Ilgauskas was expected to be a solid inside presence.

None happened. Not when it counted.


That league-best, 66-win regular season disappeared against a Magic team that accounted for six of the Cavs' losses this season, counting the playoffs. While West (22 points), Williams (17 points) and Ilgauskas (2 points) helped the Cavs trim the deficit to 11 in the third quarter, they again leaned heavily on James to make a comeback that never really felt close.

"You need a total team effort to win," Magic forward Rashard Lewis said. "LeBron's a great player, but at the same time, you need more than one guy. You need five guys. You need guys coming off the bench."

For Cleveland, a city desperate for a championship after a 45-year drought, it's the same old story -- wait until next year. Even King James needs help in his court.

If not for some jaw-dropping moments by James, the Cavs might not have even extended the series as far as they did.


His unforgettable, buzzer-beating 3-pointer saved Cleveland in Game 2. James had 21 points in the second half -- 17 in the fourth quarter -- in Game 5 and had a hand in 31 straight Cleveland points. He finished with 37 points, 14 rebounds and 12 assists in that game to become the first player since Oscar Robertson in 1963 to have such numbers in a playoff game.

But trying to carry an entire team proved to be too much.

"I don't think it was just LeBron that was tired," Cavs coach Mike Brown said. "I think it was everybody out on that floor. And LeBron logged 45 minutes for us."

James has all summer to think about the series.

The Cavs will surely try to sign James to an extension this offseason before he can opt out of his contract in the summer of 2010. Whether the Akron, Ohio, native will re-sign now -- or ever -- with the Cavs will remain a mystery until then.

He might want some help first.

The Cavs were desperate for baskets throughout the conference finals, often letting James go 1-on-5 against the Magic in hopes he could find a way to win. But that only worked for so long.

"It's very frustrating," Williams said. "I think we both had a 50-50 chance of winning this series. I don't think we was overmatched. They put us in a tough predicament."

Copyright 2009 Associated Press.
 
Watu wana sahau kuwa Lebron is just 24. Jordan did not win his first title until he was 28 in 1991 but he ended his career with 6 titles. Even though Lebron(24) doesn't have a title yet, it is to early to say how many titles he would have accumulated by the time he retires. With that said I think it is premature of any one to compare LJ with MJ. It should be remembered though that MJ is the measuring stick of basketball and any young player who comes in with lots of potential is label the next Michael Jordan. Even Kobe Bryant himself was called the next Michael Jordan when he broke into the seen but has he really surpassed or even equaled MJ? Lebron to be compared to MJ is no surprise, every new hot talent will be compared to MJ until the day someone actually surpasses him(if that will ever happen). Hata Lebron asipo msurpass MJ mta sikia in a few years kuwa kuna another "the next MJ". He "the next MJ" is not meant to mean that someone will be greater than MJ but it just means that that person is expected to be the next big thing in basketball and the biggest star of his generation. When Lebron James was asked in an interview about being the next MJ he actually said even though MJ is my hero but I see myself more of a Magic Johnson type of player than I am like MJ. With that said, let as look at what any body being called "the next MJ" has to go up againts.

Michael Jordan's records & accolades:
Michael Jordan Records
.
Michael Jordan General Stats Summary

Michael Jordan achieved so much in his illustrious career that you just have to wait till the end of another players career in order to compare them.
 
james falla fulani tu aende zake...

Aende wapi?. Mwenzako ana-entertain wakati ana [ame="http://www.youtube.com/watch?v=fbM9EP2G0LM"]get money in the bank[/ame], wewe endelea kukaanga sumu hapa JF halafu utaona itakavyokuwa.
 
Joe Smith of Cleveland and Rashad Lewis of Orlando have more authority to speak in regards to King James' perfomance than YOU. Please hear them out!​


- Hapana nimeamua kumsikiliza another JF's member anaye-make more sense kuliko hao class B NBA players, ona chini hapa:-

Michael Jordan achieved so much in his illustrious career that you just have to wait till the end of another players career in order to compare them.


Saafi sana Mwanafalsafa, yako ni strong analysis kwamba Lebron hayuko hata karibu kwa MJ, despite the hype.

Respect.

FMEs!
 

Kamuulize Legend yeyote wa Basketball wakiwemo Michael Jordan, Magic Johnson, Ewing, Barkely kwamba kwamba Lebron is just a hype and he is overrated hakuna hata mmoja atayekubaliana na nawe. Hata Rashad Lewis mmoja wa wachezaji wa Orlando ametamka hapa,

"You need a total team effort to win," Magic forward Rashard Lewis said. "LeBron's a great player, but at the same time, you need more than one guy. You need five guys. You need guys coming off the bench."

Sasa nani ana authority ya kuzungumza kuhusu performance ya Lebron wewe au Rashad Lewis? Rashad anasema KJ is a great player na wewe unasema he is just a hype and overrated!!!! ha ha ha ha wakati mwingine tunapoandika tuandike kitu cha kweli badala ya ushabiki ambao hauna ukweli wowote na tuwe na supporting evidence kuonyesha mtu yuko overrated au he is a great player mimi nimekupa number za Lebron kuonyesha kwamba day in day out Lebron will produce to the maximum, lakini wewe unapiga blah blah blah tu bila numbers zozote za kuonyesha kwamba he is just a hype and overrated

Hapa chini ni uthibitisho mwingine wa kuonyesha kwamba Lebron is not a hype and overrated. Performance yake kwenye playoffs haijaonekana kwa miaka 46 iliyopita tangu enzi za Oscar Robertson another great player.


His unforgettable, buzzer-beating 3-pointer saved Cleveland in Game 2. James had 21 points in the second half -- 17 in the fourth quarter -- in Game 5 and had a hand in 31 straight Cleveland points. He finished with 37 points, 14 rebounds and 12 assists in that game to become the first player since Oscar Robertson in 1963 to have such numbers in a playoff game.


Kuandika kishabiki bila kuwa na supporting evidence ya kusupport arguments zako hakufai kabisa hata kama mtu tunamchukia lakini let us give credit where credit is due na kuachana na ubishi wa Buguruni.
 

- Mkuu anayejua kuhusu uchezaji wa wachezaji wanapokuwa uwanjani ni watazamaji, sio anayecheza kwa hiyo naomba kusisitiza kwamba msimamo wangu upo pale pale kwamba huyu kijana Lebron ni overrated mno, hajafikia bado sana panapotakiwa. Sio lazima Magic Johnson akubaliane na mimi, ila anaweza kukubaliana na wewe sina noma!

Respect.

FMEs!
 
Nakubaliana na wanao sema titles speak volumes about a player. Even though titles are not the only way to judge a players greatness but just imagine what the legend of Michael Jordan would be without his six titles. Without his sis titles MJ would still be a great player but would he be considered the greatest? Lebron James has a long way to go before we can even start making comparisons between him and MJ. Lebron James himself would't have the guts to publicly compare himself to MJ labda kama ana jisemea kimoyo moyo. The fact remains we have seen great players come and go but always the superstars are separated from the legends. No doubt Lebron is a superstar but is he a legend? If something were to happen today that would end Lebron's career would we even remember the name Lebron in just a few seasons time? Don't get me wrong Lebron is off to a good start but his numbers, stats or whatever are nothing that haven't been achieved before nor won't they ever be achieved again. The truth is Lebron is being hyped more because of business interests. The marketing team in Nike knows the more they hype Lebron as "The next MJ" the more money for them. Sawa namkubali Lebron because it takes talent to do what he does and you can't just market anyone but you can't argue that Lebron's hype so far has much to do with capitalism than is his talents. We have seen many come and go so lets wait another ten years to really analyze this guy. Time will tell if Lebron is a legend in the making or just another superstar but for now he is just another superstar who has a lot of marketing power. Way to go Lebron but you still have a very long way to go.
 
ha ha ha ha LOL! Eti watazamaji ndiyo wanajua kuhusu wachezaji haya!!! Umenikumbusha mtazamaji mmoja pale Bongo katika mechi ya soka uwanja wa Taifa. Alikuwa anasema sasa hawa mbona wote wanagombea mpira mmoja tu!! Kwanini kila mmoja asipewe mpira wa kwake akachezea mwenyewe badala ya kugombea mpira mmoja, watu walimkata macho hakutia neno tena!!!! ha ha ha ha Hivi unafikiri kweli watazamaji watakuwa katika nafasi nzuri ya kutoa opinion ya performance ya mchezaji kuliko legends kama akina Barkely, Magic Johnson, Ewing, Karl Malone, Air Jordan n.k.!? Ha ha ha ha ha ha hii ya leo kali!!! 🙂
 

- Hainisumbui kabisa mkuu, bado siamini Lebron has it, maana jana ilikuwa ndiyo the moment of the truth, na jawabu likawa hana, hao legends wako huru kutoa maoni yao kama na mimi nilivyo huru kutoa ya kwangu, na ninaona Lebron bado sana tena sana!

FMEs!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…