NBA Playoffs

Status
Not open for further replies.
Bubu huyo the so called ur kid (king james) mbona ana ma-tatoo hivi and what is the point ya kuweka tatoo and why watu wanapenda kujichora miili yao?.unajua kuwa tatoo ni sin kwenye dini? kwenye bible in Leviticus 19:28, says "Do not cut your bodies for the dead, and do not mark your skin with tattoos. I am the Lord." (NLT) How much clearer can that be?
 
Ha ha ha you won't regret this decision at all 🙂 Hata Wazungu siku hizi wanazitaka curves kwa nguvu tu na wengine hufanya hata mazoezi ili kujenga curves hizo na siyo ile namba 1 yao 😉

Nimeona hata juzi kwenye E! news wazungu wanajitahidi sana kufanya mazoezi ili at least wawe na figure eti kama ya madona so walikuwa wnaaonyeshwa jinsi ya kuwa curved.Inabidi u-bend like bekham the nyua mfuu wako juu kinyumanyuma hivi.well siwezi kuelezea ila naweza kuonyesha kwa vitendo.

na siku hizi wazungu wengi wana junk in a trunk kama weusi naona surgey za kuongeza ****** zinasaidia sana.
 

Hiyo ya matattoo hata mimi inanishangaza sana labda ndiyo kuonekana mulume sana, lakini hata wanawake wako wengi tu. Zamani ilikuwa ni kwa ajili ya watumia madawa ya kulevya na watu wa organized crime lakini siku hizi naona inaingia kwa nguvu sana kwa weusi pia.
 
ooh gosh! hii swine flu imetokana na nini maana i feel so sick naona kama nimeipata hii swine flu,i am so sick.
 
ooh gosh! hii swine flu imetokana na nini maana i feel so sick naona kama nimeipata hii swine flu,i am so sick.

Unatania au unasema kweli? Kama unaumwa nenda haraka hospitali wakakupime inawezekana kabisa ni ugonjwa wa kawaida itakusaidia kwa kukuondoa wasiwasi.
 
Unatania au unasema kweli? Kama unaumwa nenda haraka hospitali wakakupime inawezekana kabisa ni ugonjwa wa kawaida itakusaidia kwa kukuondoa wasiwasi.

Nimesikia swine inaweza kuleta brain damage tuu.Nimekunywa antibiotic Bubu zile penicilin na anona zinanisaidia
 
Nimesikia swine inaweza kuleta brain damage tuu.Nimekunywa antibiotic Bubu zile penicilin na anona zinanisaidia

Sasa naona umeanza kuleta janja ya nyani. Usije ukanipa kisingizio kuwa umetumia hamsini yangu kununua dawa ya hiyo flu.... Hatutelewana!!!
 
Sasa naona umeanza kuleta janja ya nyani. Usije ukanipa kisingizio kuwa umetumia hamsini yangu kununua dawa ya hiyo flu.... Hatutelewana!!!

tsk tsk tsk tsk ulipotea sana ndugu yangu umeshapata day waka nini naona umekwenda sambamba na michikano na ukasikiliza wosia wangu.

No way QM deal yetu bado ipo hata payday loan nipo radhi kwenda.Ila kama nina swine ujue naweza kuwa brain damaged alafu nikasahau kama kuna bet.
 
No way QM deal yetu bado ipo hata payday loan nipo radhi kwenda.Ila kama nina swine ujue naweza kuwa brain damaged alafu nikasahau kama kuna bet.

Arooooo....Thasha...vipi quothe yangu ulothema uthanipathia?
 
thatha nthaanzdha kukuona wewe mwongo na ulinithungua thu vithu ambathvyo thikuvithema....wewe Thathsha wewe....

Trust me ulithema,ila thema thijui kurudi nyuma na kuangalia hiyo comment maana ile thread ipo too long.
 
Trust me ulithema,ila thema thijui kurudi nyuma na kuangalia hiyo comment maana ile thread ipo too long.

Thathsha thatha unaletha vithingidhio thuuu....

Hivi Thathsha unaithshi wvapi? Thtate gani?
 
Thathsha thatha unaletha vithingidhio thuuu....

Hivi Thathsha unaithshi wvapi? Thtate gani?

tsk tsk tsk no wala thileti vithingisiyo wee nyani nganu jamani mwendhio nasema ukweli daima.

Mimi naishi Delaware,PA My darling and you? (i thee it turn to be chat room lol).

Kuna homework nafanya hapa ngoja niimalizie niweze submit,
 
tsk tsk tsk no wala thileti vithingisiyo wee nyani nganu jamani mwendhio nasema ukweli daima.

Weee dhon't meth up my name...my name ith Ngabu and noth nganu

Mimi naishi Delaware,PA My darling and you? (i thee it turn to be chat room lol).

Ohh thweethearth mimi naithshi Georgia....whath's your relathiontship thtathuth?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…