Sasha Fierce
JF-Expert Member
- Feb 7, 2009
- 361
- 5
Icadon.....yaani ukichemsha hapo nita ku write off kabisa aisee....
The chick is ready to bring her long legged self to your neck of the woods...
I didnt say i am ready.you are putting words into my mouth nYani.
Okay...lemme shush before I mess things up for my boy....
You better.upedeshee haukufai ngoja cupcake akusikie.
Where is my Cupcake...I miss her.....muuuuuuaaaaaaaaa Cupcake
Lol, Brian McKnight wa JF yuko wapi?QUOTE]
Hehehehe..wewe mchokozi kweli...ndo nani huyo? QM?
Nimesikia swine inaweza kuleta brain damage tuu.Nimekunywa antibiotic Bubu zile penicilin na anona zinanisaidia
Where is my Cupcake...I miss her.....muuuuuuaaaaaaaaa Cupcake
Naona bulls wanawatoa nishai Celtics. Hii series lazima itakuwa moja ya the best series mwaka huu.
Ngoja tusubiri kushuhudia Rockets wakiwatoa kamasi Lakers.
Sasha upo??
QM game ya jana nimeona kati ya Bulls na celtcs ilikuwa hot its a tie 3-3 naona kuna game 7 jumamosi.
haka katoto Derick Rose miye nimekapenda aisee kanamchumba au mke eti QM?.
Leo chama langu(Hawks) linamtoa mtu nishai. Hujambo lakini Sasha?
QM najua hapo MIA mna wasi wasi tuu.
Leo chama langu(Hawks) linamtoa mtu nishai. Hujambo lakini Sasha?
QM najua hapo MIA mna wasi wasi tuu.
Wade kaumia bana.. ndo maana mnaweza kupita. Bila ya hivyo, mnajua mngeishia round ya 1 tu.
Lakini hakijaaribika kitu, kaka Miami wakitolea, bado kuna Orlando inapeta.
QM game ya jana nimeona kati ya Bulls na celtcs ilikuwa hot its a tie 3-3 naona kuna game 7 jumamosi.
haka katoto Derick Rose miye nimekapenda aisee kanamchumba au mke eti QM?.
Yeah Bulls vs Celtics inakwenda down to the wire. Sitashangaa kama kutakuwa na four overtimes kwenye game 7. Unajua Bulls wangeclose jana, kama wasingechemsha game 5. Haiwezekani uwe mbele kwa zaidi ya point 10, bado dakika 5, halafu ufungwe.
Hapana bada usije ukam-Demi Moore-lize katoto ka watu. Kana miaka sijui 19. Kwa nini usi-deal na magwiji kama wakina Icadon? LOL
Hilo ndiyo tatizo la kutegemea mtu mmoja kwenye team,akiumia mjue mmekwisha unlike lakerssss!,timu yote imekamilika.count down QM!.Be ready for my $50.00 nitaenda kununua skiny jeans ya kuvalia ATL nimuonyeshe Icadon hat my mama gave me.
.....si unajua ile ya "nataka sitaki".