NBA Season 2014/2015

NBA Season 2014/2015

BAK

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2007
Posts
124,790
Reaction score
288,165
attachment.php

 

Attachments

  • nba-hd-wallpapers-2014.jpg
    nba-hd-wallpapers-2014.jpg
    187.6 KB · Views: 3,408
 
Last edited by a moderator:
We #ThunderNation are in big trouble. Our roaster has a considerable number of injuries. I hope KD and Westbrook come back within the said one month. But still beating the Kings with a half squad is quite an achievement. God bless #OKC ...thunder up all day everyday.
 
Naona Klay Thompson amevunja record ya highest points at a quarter.. Kapiga 37 Q3. Sio Jordan wala Kobe wala LeBron ashafanya hivo. Sioni timu ya kuisimamisha Golden State Warriors this season..
 
Naona Klay Thompson amevunja record ya highest points at a quarter.. Kapiga 37 Q3. Sio Jordan wala Kobe wala LeBron ashafanya hivo. Sioni timu ya kuisimamisha Golden State Warriors this season..

Hakika Kijana alikuwa on fire.....
 
Hii partnership ya curry, Thompson, Green na bogus ni balaa
 
...labda majeruhi tu, vinginevyo ubingwa ni wa kwao mwaka huu.

Naona Klay Thompson amevunja record ya highest points at a quarter.. Kapiga 37 Q3. Sio Jordan wala Kobe wala LeBron ashafanya hivo. Sioni timu ya kuisimamisha Golden State Warriors this season..
 
Miye game hii hata hainipi mchecheto maana mshindi ameshajulikana hata game haijaanza....labda nitaangalia hapa na pale ili kuwaona GSW wakifanya vitu vyao lakini si game yote.

Kabisa mkuu... naisubiri game yao ya leo dhidi ya CELTICS.. Hii timu nimetokea kuipenda ghafla
 
Kuna game nzuri kati ya Cleveland na OKC inaanza in 45 minutes hii itakuwa na ushindani wa hali ya juu.
 
Naona Klay Thompson amevunja record ya highest points at a quarter.. Kapiga 37 Q3. Sio Jordan wala Kobe wala LeBron ashafanya hivo. Sioni timu ya kuisimamisha Golden State Warriors this season..

Mkuu kwanza ndio middle of the season...plus,ni game ya kuotea toka kwa Klay,dogo ni mzuri lakini sio kwa consistence kama ya Curry night in night out...ni just one game people
 
...labda majeruhi tu, vinginevyo ubingwa ni wa kwao mwaka huu.

Mzee BAK huwezi kuwapa ushindi fasta namna hiyo....ni just one increadible game from Klay...na hiyo kushinda 15 games in a row sio tatizo,ni katikati ya season wakuu...

Hawana serious Centre ambapo Andrew Bogut kila siku mgonjwa...bila centre na enough size playoffs huoni ndani
 
Kuna game nzuri kati ya Cleveland na OKC inaanza in 45 minutes hii itakuwa na ushindani wa hali ya juu.

Aaaahh hiyo siyo ya kukosa. Tayari nina kikombe cha kahawa hapa naisubiria..
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mkuu kwanza ndio middle of the season...plus,ni game ya kuotea toka kwa Klay,dogo ni mzuri lakini sio kwa consistence kama ya Curry night in night out...ni just one game people

Bila ubishi wowote nasadiki maneno yako.. Ila pia Clay sio mbaya kiivo.. ni 3 point shooter mzuri sana mkuu. Lakini pia hii game imemchangia kufunga hivi sababu Curry ilimkataa so akawa anaamua kumu'assist Klay tu. Almost 5 of his 9 3 points Curry ndio ka assist. Curry ana balaa la peke yake yule dogo
 
Hii partnership ya curry, Thompson, Green na bogus ni balaa

Nkya,hawana serious defence ukiacha labda green...ni basically jump shooting team...Defence ya Curry ni bure kabisa,heri hata Klay kwenye defence walau...

Ukija playoffs mzee,ni defence na size na experience...kwanza kwa Spurs hawakatizi
 
Mzee BAK huwezi kuwapa ushindi fasta namna hiyo....ni just one increadible game from Klay...na hiyo kushinda 15 games in a row sio tatizo,ni katikati ya season wakuu...

Hawana serious Centre ambapo Andrew Bogut kila siku mgonjwa...bila centre na enough size playoffs huoni ndani

Mkuu nakuhakikishia hii timu ina nafasi kubwa sana.. Wakubwa wote wa West washakaa tena kwa difference kubwa tu. Kule East ni kama ujuavyo hakuna timu
 
...labda majeruhi tu, vinginevyo ubingwa ni wa kwao mwaka huu.

Kwa west mi bado siwapi sana, make zikishaanza Playoffs kuna mijitu inakazaga balaa, kuna Mavs, Memphis, SAS hata OKC bado sijawafuta aisee!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Bila ubishi wowote nasadiki maneno yako.. Ila pia Clay sio mbaya kiivo.. ni 3 point shooter mzuri sana mkuu. Lakini pia hii game imemchangia kufunga hivi sababu Curry ilimkataa so akawa anaamua kumu'assist Klay tu. Almost 5 of his 9 3 points Curry ndio ka assist. Curry ana balaa la peke yake yule dogo

Curry ni bonafide superstar hiyo haina ubishi ...anadeliver consistently...hii game ya Klay isiwachanganye sana,ni mzuri sana karibu level sawa na Curry....
 
Back
Top Bottom