Congrats, Mag3...It's all good dude, the best team won!. See ya next year!.Right from the beginning I told you guys...mimi ni mwanamichezo, nafuatilia. Baada ya GSW
kuifunga Grizzlies nyumbani kwao I didn't have any doubt whatsoever kwamba ubingwa 2015
ni wa Warriors. Of course there were the doubting Thomases, wengine wakaniita poser na
phoney, thanx to Nyani Ngabu...LOL!.
Steph Curry akaanza hata kukata tamaa, nikamwambia tulia najua uwezo wa vijana.
Raimundo na Yegomasika baada ya game 2 waka declare, imekwisha nikasema, no,
not on the Warriors watch. Baada ya hapo ndipo Love na Irving wakaanza kuliliwa,
oh kama wangekuwapo! The truth is; rekodi ya Warriors kwenye regular season spoke
for itself and anybody who doubted isn't doing the Warriors any justice.
Anyway all that was yesterday, lets now move on...all eyes now set on 2016. Thanks to you all
basketball lovers and all those who followed the NBA championship so religiously.
Right from the beginning I told you guys...mimi ni mwanamichezo, nafuatilia. Baada ya GSW
kuifunga Grizzlies nyumbani kwao I didn't have any doubt whatsoever kwamba ubingwa 2015
ni wa Warriors. Of course there were the doubting Thomases, wengine wakaniita poser na
phoney, thanx to Nyani Ngabu...LOL!.
Steph Curry akaanza hata kukata tamaa, nikamwambia tulia najua uwezo wa vijana.
Raimundo na Yegomasika baada ya game 2 waka declare, imekwisha nikasema, no,
not on the Warriors watch. Baada ya hapo ndipo Love na Irving wakaanza kuliliwa,
oh kama wangekuwapo! The truth is; rekodi ya Warriors kwenye regular season spoke
for itself and anybody who doubted isn't doing the Warriors any justice.
Anyway all that was yesterday, lets now move on...all eyes now set on 2016. Thanks to you all
basketball lovers and all those who followed the NBA championship so religiously.
Of course there were the doubting Thomases, wengine wakaniita poser na
phoney, thanx to Nyani Ngabu...LOL!.
mhm!!!!
So am I.First and foremost, I am a stand up guy and by virtue of that I don't shy away from things that I say.
On the contrary I don't, not everything, only those I am responsible for.I own up to everything.
Well here I am...let me start by quoting you;I almost know for a fact that you can't show me and I will be more surprised if you will even deign to respond.
Hata Raimundo hakubaki nyuma;I said that.
And I say this also...GSW aren't contenders. They are pretenders.
Just wait until the Spurs press down on the gas pedal.
But even in the unlikely event they (the Spurs) get knocked out early, the Cavs will be there waiting for them and I can see LBJ and them easily crushing your GSW.
This year's GSW reminds me of the 2012 OKC. Exciting, spectacular...but no championship depth.
Go USA go!:usa2: The best damn country in the whole wide world.
And when I tried to challenge you this is the retort I got;Jipangeni vizuri mje game 4 upya ili mtoe upinzani! Sio vizuri series za final kuwa za upande mmoja!!!
Tunawapiga game 4, tunawaacha mshinde kwenu ili ubingwa tubebee kwentu, maana sio vizuri kuchukulia ubingwa kwa adui!
Well you might not have said phoney, but surely the implication is there dude.Nyani Ngabu said:you claim to be a sports enthusiast but you are clearly not and you don't know what the hell you are talking about.
You are just a poser who's been caught up in the frenzy and excitement of the possible GS championship.
Good ain't enough where better is possible.If it ain't broke don't fix it.
Let's look at the myth that LeBron didn't have help.
Game 1 - Kyrie scored 23 with 6 assist & Mozgov had 16 points 7 boards
Game 2 - Mozgov 17 points with 11 boards, Thompson also pulled down 14 boards
Game 3 - Dellavedova drops 20
Game 4 - Mozgov scored 28 points (8 more points than LeBron) with 10 boards
Game 5 - Thompson drops 19 points, 10 boards, JR Smith puts up 14 points
Game 6 - 19 from JR Smith, 15 points and 13 boards from Thompson and 17 points and boards from Mozgov
Was LeBron carrying them or was he forcing things way too much shooting 13-33, 11-35, 18-38, 7-22, 15-34 and 14-34.....LeBron shouldn't be absent from blame in this series loss..
Copy and Paste.. CC: Tyta Mag3 Raimundo
So am I.
On the contrary I don't, not everything, only those I am responsible for.
Well here I am...let me start by quoting you;
And when I tried to challenge you this is the retort I got;
Well you might not have said phoney, but surely the implication is there dude.
Good ain't enough where better is possible.
tehteh...wameignore/kutofahamu kitu kinaitwa adjustment....Warriors were favourite to win it all right from the beginning of the Playoffs(Kyrie & Klove were super healthy by then)...aproach ya GSW could have been much different...Ile game tulivyopotea niliogopa sana.. Sikuwa na shaka kwenye kuipoteza ila ule mchezo ndio ulionitisha..
Hata kwa timu kama Grizz tulipokuwa 1 down nilikuwa na moyo, ila kwa ile game ilinikatisha tamaa..
Lakini cha ajabu 4th Q tukafanya maajabu, I was half half after that game..
Mtu anayesema sijui Kyrie mara Love wangekuwepo GSW wasingechukua ile ring mi nashindwa tu kuwaelewa. Theories have no ground until they are proved. Ila watu hao hao kama Cavs ingeshinda wangemu'over praise LeBron atafikiri alikuwa anacheza peke yake. Huyo Kyrie alikuwepo game 1 wakati GSW wanaongoza kwa vikapu zaidi ya 5 OT. Hao Cavs walimpiga Hawks 2-0 kwao bila ya hao Love na Kyrie tena Hawks wakiwa wako full mkoko..
Nyie jamaa mshukuru tu Mungu wa Basket alikuwa upande wenu.
We still believe that we could have won the series kama tungekuwa sio majeruhi.