Ipi East Coast Team na ipi ni West Coast Team...!
Ipi East Coast Team na ipi ni West Coast Team...!
Una maana gani?
Hahahaaa....@ 1:40 of the first half Spurs up by 21!
Danny Green's got a hot hand.....Kawhi is on fire.....and everybody else is doing their job.
The Spurs are peaking at the right time and tonight they are playing like the reigning and defending NBA champs.
GSW is toast.
NBA haihusishi hizo team kwani? West coast na East coast?
Agreed, but I don't think Spurs' domination will last for 48 minutes. Steph Curry where are you bro? Your team needs you.
Kick ass performance by Spurs.
Mie naona East nitawashabikia CAVS na West nitakuwa pamoja nawe kwa GSW. Spurs sina mchecheto nao kabisa hata enzi za David Robinson.
Ngoja tuone maana jamaa nimeanza kuwaogopa sasa
Spurs wanatisha kama watacheza playoffs kama walivyocheza kwenye mechi zao za karibuni basi kutakuwa na sweep at least round ya kwanza na ya pili ya playoffs.
Spurs wanajua aisee! Jamaa wanachofanya ni kuhakikisha wanawafrustrate key players wa opposing team huku wao wanashare mpira bila tabu!
Bado ninaamini GSW hawezi kusimama kwa Spurs! Memphis amedrop siku za karibuni, nilikuwa nawakubali kwa defense pia! Sina uhakika na kina Harden maana, na kama D12 atakuwa fit kwenye playoff! Wengine kama LAC, Portland, Dallas ni showoffs tu!