teh teh....Na kidogo wampoteze KD....
Naona baada ya Mark Jackson kutamka kwamba anadhani James Harden ndo atakuwa MVP, Curry hajamtaja mahali popote kwenye speech yake.
dah, Clipper wamenisurprise kabisa.. wamempiga jamaa kwao
aisee
Mkuu Nyani Ngabu asee kuwa mshindi NFL inapokuja suala la Draft unajikuta unaambulia some last place pickings ambazo dah kwa upande mwengine kaz kweli kweli kujua ka wataleta any impact on Pats game. Nimechungulia kwa fasi draft picks zetu, asee labda timu zikubali some trade-offs! Ila I always trust Bellichick!
Dah nashukuru kupata mind-assuring opinion, bruv.
Ila mpaka leo hii mi naona ka design flani hivi hatujaweza 'get off our backs' mzimu wa 2 defeats to the Giants, kiasi kwamba nakumbuka kuna mzee moja hivi mwandishi alimtania TB12 kwamba (I quote here) "I think now we know the Pats formular to win SBs... Just Don't Play the Giants". TB12 alicheka tu kishakaji, ila mi lile kwangu lilikuwa more than utani. Unaliongeleaje hilo, ariff!.
it was an emotional night..hopefully the Dubs will regroup and comes stronger than ever.........
The series will be so interesting if Conley keeps playing the rest of the series.
He really made an impact..However it was a flat performance made by the newly crowned MVP....I am optimistic however. .they will definitely bounce back..
That 2007 undefeated season ended in a crushing heartbreak.
Mi mpaka leo bado nayasikilizia maumivu na kui replay ile catch ya David Tyree. Yaani kama Rodney Harrison angeugonga kidogo tu ule mpira ili iwe an incomplete pass game ingewa over kwa sababu ilikuwa ni fourth down.
Sitaki tena kukutana na Eli Manning kwenye Super Bowl.
Af everytime we met with them, it's like the Fates are always on their side. Coz, I just (still today) understand how come twice meeting them, they end up with a decisive drive that determines the game winner!?. It's like Eli & Co. wana kismati coz ukiwaangalia vizuri season nyingi wao ni average performers.
Yan, sijui ndo bad psyche walituachia 2 times we met with them!!. Of all the QBs in the league, I hate the prospect of meeting with Eli more than his bro, Payton and all the rest combined.
Mwaka tutacheza na Giants kwenye regular season.
Sina uhakika kama mechi itakuwa Foxboro au MetLife stadium.
But I can't wait.
Halafu kwenye head to head match up kati ya Tom na Peyton, Brady is 11-5.
So it's safe to say Tom owns Peyton.
Hawa mbona wataleta uzinguzi tena?!