NBA Season 2014/2015

You are very right. Curry bado hajaongoza timu yake kushinda NBA championship hata moja.

I knew I was right.

No, I am not a prisoner of the moment, of which I don't think you understand.

If you are not being a prisoner of the moment then why are you placing him so high on a pedestal when he doesn't even have a ring yet?

Curry is not even on LeBron's level yet! And you're going claim that he is the Pele of basketball?

You can't be serious.

It depends...you could be right and you could be wrong.

I know for a fact I'm not wrong on that.
 

Naongelea kimchezo na si mafanikio. Nilimshuhudia live Pele akicheza na nimemshuhudia live Curry akicheza...naongelea kipaji chao cha uchawi wa ku"control ball" either kikiwa mkononi au mguuni.

Mtu kama LeBron, kwa mfano, anaweza kufanikiwa zaidi sana lakini hatamfikia Curry kwa uchawi wa ku"control" mpira.
 

Michael Jordan je?

Hata sasa hivi LeBron ndo anakubalika kuwa ndo the best basketball player in the world licha ya Steph kushinda MVP.

Jordan angeweza kupata ushindani toka kwa Len Bias kama maisha yake yasingekatika kabla ya wakati.

Lakini clearly kwenye basketball mpaka sasa hakuna aliye kama Jordan.

Anyway, nadhani unachoongelea wewe ni suala la kimtazamo zaidi na nadhani watu wengi wanamkubali Jordan kuwa ndo mchezaji mzuri/ bora wa kikapu kupata kutokea.

Ila nakubali kuwa kwa msimu huu Curry kajitahidi sana na anastahili accolades zote alizozipata.
 
Kwa watu wanaojua mchezo Steph Curry yuko katika daraja la pekee, anaweza kulinganishwa tu na Pele wakati wake kwenye soka. Dawa pekee ya kuwazuia hawa watu ni kwa kutumia mchezo wa rafu na manguvu kama Waingereza walivyomfanyia Pele.

Kumwangalia Curry akicheza ni kama kumwangalia Messi akicheza.. LeBron got his rings akiwa na watu kama Bosh na Wade (wote ni All Star). Curry anapata ring yake mwaka huu akiwa na watu Klay and Green.. Curry kashaweka records nyingi tu, Curry pia kaisaidia GSW kuweka record nyingi pia..

Nawaza tu kama GSW ingekuwa na 3 All Stars (Curry, Westbrook, Klay) kama Miami walivyokuwa (Bosh, Wade, James)
 
Only one difference, LeBron bulldozes his way, Curry maneuvers his way just like Pele did. There are players who wouldnt have gotten where they are except for their sheer brute strength. Of course Jordan was exceptional.
 

Mpaka sasa hakuna timu yenye watu wenye miili midogo midogo kama GSW lakini wanavyowapa taabu miamba ya miraba minne mpaka inaleta raha.
 
Only one difference, LeBron bulldozes his way, Curry maneuvers his way just like Pele did. There are players who wouldnt have gotten where they are except for their sheer brute strength. Of course Jordan was exceptional.

When it comes to brute strength, LeBron is like a freight train.

So there is no argument from me on that.

But LeBron is almost the total package because he packs a lot of strength, he's got the height, skill, agility, and other intangibles necessary to attain success.

To me, the most impressive thing about Curry is his three point shooting abilities.

He does it so effortlessly that it is almost surreal.

Dude is a sniper.

If he continues to drop those jaw-dropping threes like that consistently then there is no doubt in my mind that he will go down in history as the best three point shooter in the game of basketball.

But, when it comes to who is the GOAT, there is very little disagreement as to who claims that distinction.

Michael Jeffrey Jordan is on a different stratosphere.

Kids who started watching basketball in the 2000s might not get it.

But many of us old heads know what he brought to the table.
 
Reactions: BAK
But LeBron is almost the total package because he packs a lot of strength, he's got the height, skill, agility, and other intangibles necessary to attain success.
I understand, if to you, that is all basketball entails; the end justifies the means. To me, I enjoy the elegance, the charm, the grace and the magic displayed in the execution by players like Curry.
To me, the most impressive thing about Curry is his three point shooting abilities.
He also happens to be the best shooter from the line...almost 90%.
He does it so effortlessly that it is almost surreal.
No other dude comes even close
Dude is a sniper.
Agreed.
If he continues to drop those jaw-dropping threes like that consistently then there is no doubt in my mind that he will go down in history as the best three point shooter in the game of basketball.
So far he holds the record...remember the three point contest?
But, when it comes to who is the GOAT, there is very little disagreement as to who claims that distinction. Michael Jeffrey Jordan is on a different stratosphere.
Agreed, up to now.
Kids who started watching basketball in the 2000s might not get it.
Started watching basketball in the 1960s and even played some.
But many of us old heads know what he brought to the table.
Agreed.
 
Mpaka sasa hakuna timu yenye watu wenye miili midogo midogo kama GSW lakini wanavyowapa taabu miamba ya miraba minne mpaka inaleta raha.

Kuichukia GSW ni kujitakia magonjwa ya moyo tu maana kila kukicha utaiombea mabaya pasipo kufanikiwa.. Walisema u can never win on play offs kwa kutegemea 3 points ila baada ya Memphis kupigwa 3's za kutosha pamoja na miili yao sasa wanasema it's a shit team depending on 3's only to win games
 
Hall of Famer Barkley akionesha dharau alitabiri kuwa GSW hawatafika finali akidai nguvu zao ni za soda...well, he never reckoned with the magic Curry brings to the game! Anasahau kwamba wakimbana Curry, Thompson yupo, wakimbana huyo Green yupo, wakimbana huyo Barnes yupo na wakumbana na huyo Iguadala yupo na wote hao ni three point executors! Klay Thompson holds the most three pointers in a single quarter!
 

Na pia defensively wako vizuri.. And the genius Kerr knows how to accumulate them..

U can beat GSW in one game lakini kuwafunga on series ni ngumu sana.. Na kama utawafunga usitegemee kushinda within 5th or 6th game..
 
Huyu jamaa utabiri wake si wa kuaminika hata siku moja. Hata Da Bulls alitabiri ni timu nzuri kuliko CAVS na hivyo wataitoa CAVS. Mie nilimshangaa sana na mshangao wangu ukawa kweli. Sasa hivi ushindani ni Western Conference atakayepita Western conference kwa maoni yangu ndiye bingwa wa 2014/2015 tena sidhani hata kama kutakuwa na haja ya kwenda mpaka game 7.

 

Rekodi ya utabiri wa Charles Barkley ni atrocious.

Mimi nilishaacha kumsikiliza [kuhusu tabiri zake] zamani mno.

Nadhani niliacha kumsikiliza mwaka 2001 baada ya kuridhika kuwa tabiri zake nyingi huwa sivyo kabisa.

Mwingine ambaye simsikilizi kabisa ikija kwenye tabiri ni yule loudmouth wa ESPN2's First Take, Stephen A. Smith.

Huyu jamaa naye rekodi yake ni ya hovyo kabisa.

Juzi tu hapa alitabiri kwamba fainali za Eastern conference zitakuwa ni kati ya CAVS na Wizards.

Ni mara chache sana tabiri zake kuwa sahihi.

*Halafu games zote [ukiondoa Clips vs Rockets] zimeishia game 6 na washindi wameshinda ugenini - CAVS over Bulls, Hawks over Wizards, na Warriors over Grizzlies]

I find that to be very interesting.
 
Reactions: BAK
Huyo Charles Barkley ndio maana anapoteza mamilioni ya $$ huko kwenye ma-casino, Las Vegas kwenye gambling. He is always wrong, all the time!.
 
Reactions: BAK
Huyo Charles Barkley ndio maana anapoteza mamilioni ya $$ huko kwenye ma-casino, Las Vegas kwenye gambling. He is always wrong, all the time!.

Hahahaaa kumbe na wewe unamjua [kuhusu tabiri zake] eeh?

Jamaa hovyo kabisa aisee.

Sasa sijui huwa anakuwa tu contrarian kwa makusudi [maana ana sifa ya kutoa kauli tatanishi tatanishi sana wakati mwingine] au tu ni kwamba ikija kwenye tabiri ni mchemshaji?

Binafsi nilishamuengua kabisa miaka 14 iliyopita.

Halafu unaikumbuka hii scrap ya Shaq na Barkley? Ila Shaq ali-miss ile left hook hahahaaaa...ngumi za NBA bana. Jamaa wala huwa hawapigani kivile....hususan zama hizi.


Halafu baadaye walikuja kuizungumzia wakiwa pamoja.

 
Last edited by a moderator:
Kuichukia GSW ni kujitakia magonjwa ya moyo
tehteh......#hatersgonnahate no matter how sensibly you reason with them...

tu maana kila kukicha utaiombea mabaya pasipo kufanikiwa..
It's pretty hilarious reading some comments, do they get a headache when they try to think? Obviously they don't produce very complex thoughts and result to coming up with out of topic issues when confronted with an argument (a common theme amongst hypocrites and ''much know wannabes'' people).



Walisema u can never win on play offs kwa kutegemea 3 points ila baada ya Memphis kupigwa 3's za kutosha pamoja na miili yao sasa wanasema it's a shit team depending on 3's only to win games
....labda sababu ya unafiki ama ulimbukeni wao....GSW is not the only the Team that live by 3 and thrive by 3....
..ATLANTA hawks (yes ATL,no one with sanity thoughts can dispute that)does that as well(though not to a higher magnitude than the Dubs)..The Rockets are among them also..
Phil Jackson not a fan of 3-point-shooting playoff teams

Phil Jackson Was Wrong, But We Already Knew That
(tehteh....watu wanaleta tweets pasipokujua ni shade thrown'' hata kwa timu zao ...)
 

Sports can make odd bedfellows.

Glad to see that you are in agreeance.
 
Walisema u can never win on play offs kwa kutegemea 3 points ila baada ya Memphis kupigwa 3's za kutosha pamoja na miili yao sasa wanasema it's a shit team depending on 3's only to win games

tehteh.....msikilize Steph A.Smiths kuanzia dakika ya 13:40..
"NBA analysts give me some diagnostics on how 3pt oriented teams are faring this playoffs ... seriously, how's it goink?"
najua Phil Jackson ni hall of famer,one of the greatest coaches.....but the new yorkers(knicks fans) are still devastated by last season's nightmares,..and he comes up with a silly tweet...
 
Last edited by a moderator:
Only one difference, LeBron bulldozes his way, Curry maneuvers his way just like Pele did. There are players who wouldnt have gotten where they are except for their sheer brute strength. Of course Jordan was exceptional.
..point of addition...
 
I understand, if to you, that is all basketball entails; the end justifies the means. To me, I enjoy the elegance, the charm, the grace and the magic displayed in the execution by players like Curry.
Steph may end up the most popular player of his generation. Partially because he's so good at what he does. partially because he's a good person, and partially because most people see themselves in him. Lebron is otherworldly(a freak of nature). Steph feels like the local kid done good.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…