NBA Season 2015 - 2016: Special thread


Kwa moto huu wa Cavs with health KI and KL, sahauni ubingwa mazee, tena msahau kabisa.

Tunawasweep Toronto (sana sana wakijitahidi itakuwa 4-1), tunawasubiri ninyi mhangaishane huko na kina KD na RW. Mkifanikiwa kuvuka mjue thisi time hamna chenu mkuu.
 
Je unayo habari kwamba kwa CAVS msimu huu GSW inaongoza 2-0 (89-83 na 132-98)
Swali linalofuatia ni je KI na KL walikuwepo wakati CAVS wanatandikwa mara mbili bila?

Kwa OKC msimu huu GSW inaongoza 3-0 (116-108, 121-118 na 121-106)
Je KD na RW walikuwepo wakati OKC wanatandikwa mara tatu bila?
 

Kila mara nasema humu, regular season results siyo determinant kwenye playoffs, bahati nzuri uko kwenye system kwa muda mrefu sana na unajua kwamba hii ni kweli.
 
Russell Westbrook on Stephen Curry.

He's a shooter. He's not nothing I haven't seen.

Hahahaha I hope Westbrook shuts Curry down. Unless otherwise this jibe will haunt him.

Anyway we need this type of mentality and not giving in onto some players and accepting their greatness over you.

To Curry i guess this is a challenge accepted.
 
Kila mara nasema humu, regular season results siyo determinant kwenye playoffs, bahati nzuri uko kwenye system kwa muda mrefu sana na unajua kwamba hii ni kweli.
Je kwa msimu uliopita regular season results hayakuwa determinant kwenye playoffs? Mbona hiyo hiyo GSW iliyoshika nadasi ya kwanza (both East and West), ndiyo ilinyakua ubingwa? Ama hiyo theory yako ina-apply kwa timu fulanu fulani tu? Hebu niambie msimu wa 2013/2014 ilikuwaje? Na misimu kabla ya hapo ilikuwaje?

FYI
2012 OKC ilinyakua first place overall kwenye regular na ikatwaa ubingwa kwenye finals!
2013 Heat ilinyakua first place overall kwenye regular na ikatwaa ubingwa kwenye finals!
2014 Spurs ilinyakua first place overall kwenye regular na ikatwaa ubingwa kwenye finals!
2015 GSW ilinyakua first place overall kwenye regular na ikatwaa ubingwa kwenye finals!

Sasa kwa nini 2016 GSW iliyoshinda first place overall kwenye regular isitwae ubingwa kwenye finals?
 
2012 OKC ilinyakua first place overall kwenye regular na ikatwaa ubingwa kwenye finals!

Kabla sijaangalia maeneo mengine naomba urekebishe hapa mkuu.

2011 alishinda Dallas vs Miami, na Miami alikuwa na Home Court Advantage, pia kati yao hakuna hata aliyeongoza kwenye conference yake. Overall alikuwa ni Chicago.

2010: LAL, overall alikuwa ni Cavs
 
Huyu Curry ukimsema vibaya lazima akutie aibu...

Walisema Kawhi ndiye lock ya Curry, kilichotokea ni Kawhi kufanywa kama a rookie defender..

Sasa huyu Russel leo lazima atalazwa na viatu..
 
Hayo maneno ulianza kuyatoa Xmas.. Ukaambulia aibu, akaja rematch ukaambulia aibu, ukaja Spurs defense will beat Warriors ukaambulia aibu, ukasema last 2 games against Spurs zitatunyima kuweka record ila nayo ukaambulia aibu..

Sasa umesema KI and KL wako moto... Tusubiri !!!!
 

Regular season ni maandalizi tu, na yanasaidia kufanya adjustments muhimu sana kwenye timu ili ikifika Playoffs mnajua nini ni nini.

Mfungeni kwanza OKC, mkija kwetu tutawaharibia mbaya.
 
Pamoja na Russel kuonekana akiponda and all that.. Champ anakuja na maneno laini kabisa...

They’re an explosive team,” Curry said of the Thunder. “They’re clicking right now and found a good recipe to beat a tough Spurs team. That says a lot about how they’re playing right now.”
 
Russel kapania sana hii game, ananipa matumaini ya kuwa game yenye ushindani.
Warriors ukiwapania utajikuta kwenye aibu tu.. Waangalie wote waliotupania kwenye regular kilichowapata..

Unakuta ni timu za ajabu tu ndizo zimetufunga tena zikiwa hata hazijafikiri kufanya hivyo.. Russel kuzikimbiza vizee vya Spurs kumempa kichwa..
 
Warriors ukiwapania utajikuta kwenye aibu tu.. Waangalie wote waliotupania kwenye regular kilichowapata..

Unakuta ni timu za ajabu tu ndizo zimetufunga tena zikiwa hata hazijafikiri kufanya hivyo.. Russel kuzikimbiza vizee vya Spurs kumempa kichwa..

Siyo kumpa kichwa, katika hali ya kawaida game inanoga kukiwa na hizi Trash Talks, siyo mnaenda kwenye game kama mnaenda church kuimba kwaya.

Lazima ujipe motivation.
 
Things to note before the tip off...


In Golden State’s three-game regular season sweep of the Thunder, Curry averaged 35.0 points while shooting 45 percent from three-point range, including the game-winning overtime shot in a thriller in Oklahoma City in the teams’ second game of the year.

Meanwhile, Westbrook averaged 25.5 points and 10.7 assists while shooting just 35 percent from the field against Golden State during the regular year.
 
Ngoja nilale, nitaamka kuangalia OKC anaongoza points kadhaa O3, namalizia game OKC 1- 0 GSW
 
Siyo kumpa kichwa, katika hali ya kawaida game inanoga kukiwa na hizi Trash Talks, siyo mnaenda kwenye game kama mnaenda church kuimba kwaya.

Lazima ujipe motivation.
Sijasema Russel kafanya vibaya kuongea hivyo.. Hata kabla ya All Star Game ile mechi ya OKC na Warriors alihojiwa kuhusu Curry ila kama alikebehi hivi... Lakini Curry alihojiwa kuhusu Russel na alijibu vizuri tu kiuwanamichezo.. Nachopenda hizi trash talks Curry huwa anamwachia Green na mdogo wake Klay..
 

Of course kila mmoja ana jinsi anavyo-approach game na jinsi anavyoongea mbele ya vyombo vya habari.

Russel ni some kind ya rude boy, hata anavyocheza game ni kama vile ni ugomvi, so mtu wa aina yake usitegemee sweet-talk kama ya Curry.
 
Of course kila mmoja ana jinsi anavyo-approach game na jinsi anavyoongea mbele ya vyombo vya habari.

Russel ni some kind ya rude boy, hata anavyocheza game ni kama vile ni ugomvi, so mtu wa aina yake usitegemee sweet-talk kama ya Curry.
Namkubali sana RW kama mchezaji. Ila simkubali kabisa katika upande wa mavazi; jamaa sijui anavaaga manguo ngani!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…