NBA Season 2015 - 2016: Special thread

Hahahahahahaha unanifurahisha mkuu. Kwamba ingekuwa Cavs mngeclose deal au

Mkuu hawa jamaa hawajui kulinda goli, 3-1 zinarudi unaangalia tu, tena unaongezwa!

Kuanzia sasa OKC na Clippers nawaweka kwenye group moja, hawatakuja kuwa mabingwa kamwe kwa kipindi cha miaka 10 ijayo.
 
Mkuu hawa jamaa hawajui kulinda goli, 3-1 zinarudi unaangalia tu, tena unaongezwa!

Kuanzia sasa OKC na Clippers nawaweka kwenye group moja, hawatakuja kuwa mabingwa kamwe kwa kipindi cha miaka 10 ijayo.
Hahahahaha Clippers mkuu needs to do one thing. Let Griffin go akapate watu watakaomwongoza. OKC hawawezi kumweka Russell Westbrook na Kevin Durant sehemu moja halafu Russell akawa the primary decision maker. Hilo ndilo linawacost despite of RW being a good distributor of the ball now days lakini he's not a good decision maker when it matter the most. The best is for them to split
 

Na bado Barkley anaamini Cavs wanashinda hii fainali.
 
Napenda sana tabiri za Chuck...katabiri "Cavs atabeba msimu huu".....long time NBA fans know his past prediction records...
 
Hivi ni kweli OKC wamepoteza ushindi wa 3-1?

Saa hizi ndo nakumbuka kumbe walikuwa wametangulia 3-1?

Mimi sikuwa kabisa na imani na hao OKC.

Deep down nilikuwa na feeling kwamba GSt. wangeshinda tu series nzima licha ya OKC kuwa mbele 3-1.

Thunder hawajui kabisa ku maintain leads. Hata kwenye regular season [kama sijakosea] walipoteza michezo mingi tu licha ya kuwa walikuwa wanaongoza hadi kuelekea dakika za mwisho.

Kwa maoni yangu, mimi nadhani 'superstar' wao, Kevin Durant, hajiamini kivile hasa ikija kwenye zile critical moments.

Matokeo yake anakuwa tentative sana awapo na mpira. Badala ya kuongeza lead iliyopo anaishia kucheza ili kuibakiza tu.

Sidhani kabisa kama huyo jamaa atakuja kushinda ubingwa akiwa kwenye prime yake.

Hivi kweli kwa mfano unadhani timu ya Michael Jordan au Kobe Bryant ingekuwa juu 3-1 na game 6 iko nyumbani huku inaongoza kwenye robo ya nne ingesambaratika namna ile?

KD hana kabisa ile requisite killer instinct hata kama kesha smell blood.
 
Mimi sikuwa kabisa na imani na hao OKC.

Deep down nilikuwa na feeling kwamba GSt. wangeshinda tu series nzima licha ya OKC kuwa mbele 3-1.

Naikumbuka kauli yako mkuu juu ya hili.

Leo game 1, though these games always prove nothing when it comes to final results of the series.
 
Raimundo, hayawi hayawi, sasa yamekuwa...there are some things it is not advisable to wish for, you might just get them! Best of luck tomorrow!
 
Here are the 10 most famous athletes in the world, according to ESPN:

10. Rafael Nadal
9. James Rodriguez
8. Virat Kohli
7. Tiger Woods
6. Kevin Durant
5. Roger Federer
4. Neymar
3. Lionel Messi
2. LeBron James
1. Cristiano Ronaldo
 
Here are the 10 most famous athletes in the world, according to ESPN:

10. Rafael Nadal
9. James Rodriguez
8. Virat Kohli
7. Tiger Woods
6. Kevin Durant
5. Roger Federer
4. Neymar
3. Lionel Messi
2. LeBron James
1. Cristiano Ronaldo

Hata Kobe Bryant??¿¿
 
Hata Kobe Bryant??¿¿
Kobe wa 11. For starters, Curry isn't in the top 10 on ESPN's list. Or the top 20. Or even the top 30! He actually comes in at No. 34 on the list behind six other NBA players, including Dwyane Wade (No. 33), Derrick Rose (No. 30), Carmelo Anthony (No. 29), Kobe Bryant (No. 11), Kevin Durant (No. 6), and LeBron James (No. 2). Other athletes who rank ahead of Curry? Golfers Rory McIlroy (No. 20) and Phil Mickelson (No. 13), female tennis players Serena Williams (No. 25) and Maria Sharapova (No. 18), just about every prominent soccer player (Neymar at No. 4, Lionel Messi at No. 3, Cristiano Ronaldo at No. 1), and not one but two cricket players (Mahendra Singh Dhoni at No. 14 and Virat Kohli at No. 8).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…