NBA Season 2015 - 2016: Special thread

NBA Season 2015 - 2016: Special thread

Thanks Warriors, you have started my weekend in a good way!. We showed up in your home court.
Sasa nnachoomba hawa vijana wetu, Game ya 5 wasije flop ka OKC tukapinduliwa au kuvuuta series ambayo inaweza kumalizwa kwa just 1 W.
Ka nawaona Cavs walivyojawa na hasira. Game 5 itakuwa mechi kali sana.
where are Cavs Fans At?..
 
2ab549457cd8577665aaa4ef994e1d8e.jpg


Vijana wangu wa kuvunja records. Asee kati ya hawa watu Mag3, Steph Curry, Tyta, Watu8, @Alegria na swaiba @NN (wakipenda), wanchekie ni records ngapi hawa vijana wameweka msimu huu. Shout out to you bruvs.
 
Hahaha ngoja tuwasubiri waje. Utasikia vitisho vyao "hamtoki game 5", "tutashinda tu hii series". Hahaha.
When Curry is needed the most shows the best guys. Huyu jamaa nahisi ni best clutch player ever to step in the game of basketball. Anyway huwa nampenda sana Skip A Bayless akiwa anamsema Curry huwa anasema usifanye kosa ukajaribu kumpima huyu jamaa he'll annihilate you badly.

Tofauti yake na other Max players and superstars kwenye timu nyingine ni kuwa he gives room for the other teammates to step up when he's lost. And hicho ndo kitu kikubwa sana ambacho Golden State warriors wanacho over other best teams.
 
When Curry is needed the most shows the best guys. Huyu jamaa nahisi ni best clutch player ever to step in the game of basketball. Anyway huwa nampenda sana Skip A Bayless akiwa anamsema Curry huwa anasema usifanye kosa ukajaribu kumpima huyu jamaa he'll annihilate you badly.

Tofauti yake na other Max players and superstars kwenye timu nyingine ni kuwa he gives room for the other teammates to step up when he's lost. And hicho ndo kitu kikubwa sana ambacho Golden State warriors wanacho over other best teams.

ASANTE SANA MKUU. TO PRESERVE YOUR BEST OUTPUT... SAY NO MORE (not literally) ! YOU HAVE EPITOMIZE IT.
 
Kwa sababu GSW ana rekodi nzuri kila akicheza na CAVS pale Oracle Arena...
Halafu hii CAVS huwezi kabisa ifananisha mfano na upinzani walioonesha timu kama OKC au Blazers pale Oracle...
Pia kama umetazama alivyokuwa anafanya LeBron mwishoni ni kama kashakata tamaa...
Kwa nini mkuu? Mi naona ka Cavs watakuja na determination kilo nane.
 
Kwa nini mkuu? Mi naona ka Cavs watakuja na determination kilo nane.
Nahisi we'll live a decade bila kuona a team organised like this Golden State Warriors team.


For instance

Russell Westbrook in the first four games came up in a beast mode. Attacking the basket, doing great defense on Curry, and making threes wakati hakuwa a good 3 point shooter kwenye regular season.....

But then what just happened. After loosing game four in Cheaspeke Arena tena kwa blowout Center wao Golden State Warriors Mareesse Speights maarufu kama Mo Buckets tweeted kuwa "we've the best record in the league, we've got the first Unanimous MVP and we'll bounce back and win this series".

Kila mtu alimcheka. Maana walionekana wamezidiwa and mtu anasema they'll win 3 straight against that OKC team which annihilated the San Antonio Spurs?

Game five Curry steps up. Wanashinda and he's telling them we're not going home. Watu wanamwona mwehu. All I can remember ni kuwa katika press conference ya game hiyo Russell Westbrook alicheka kwa dharau sana KD alivyoulizwa kuhusiana na defense ya Curry. Then what happened? Quarter ya 4 mwishoni game 6 alionekana Curry waving his two hands showing the sign of game 7.

These other NBA teams are like they've just submitted to the Warriors. And trust me, playing this way this team will dominate the league and Curry will overmatch and outwin every player regardless of his 6'3 slender soft skin body.

AND I'LL SAY THIS OVER AND OVER AGAIN. LEBRON MAY BE A BETTER TALENT THAN KOBE BRYANT. BUT HE'S NOWHERE CLOSE TO KOBE'S HEART OF WINNING. IF IT WAS KOBE IN THIS SERIES DESPITE THE ATTACKING PROWESS AND HOW ORGANIZED THIS GSW TEAM IS, HE WOULDN'T ACCEPT LOOSING SECOND STRAIGHT. WARRIORS COULD HAVE FELT THE HEAT
 
Kwa sababu GSW ana rekodi nzuri kila akicheza na CAVS pale Oracle Arena...
Halafu hii CAVS huwezi kabisa ifananisha mfano na upinzani walioonesha timu kama OKC au Blazers pale Oracle...
Pia kama umetazama alivyokuwa anafanya LeBron mwishoni ni kama kashakata tamaa...
Alishakuwa kwenye "panic mode",ndio maana akazinguana na Green kisha Curry. .
 
Nahisi we'll live a decade bila kuona a team organised like this Golden State Warriors team.


For instance

Russell Westbrook in the first four games came up in a beast mode. Attacking the basket, doing great defense on Curry, and making threes wakati hakuwa a good 3 point shooter kwenye regular season.....

But then what just happened. After loosing game four in Cheaspeke Arena tena kwa blowout Center wao Golden State Warriors Mareesse Speights maarufu kama Mo Buckets tweeted kuwa "we've the best record in the league, we've got the first Unanimous MVP and we'll bounce back and win this series".

Kila mtu alimcheka. Maana walionekana wamezidiwa and mtu anasema they'll win 3 straight against that OKC team which annihilated the San Antonio Spurs?

Game five Curry steps up. Wanashinda and he's telling them we're not going home. Watu wanamwona mwehu. All I can remember ni kuwa katika press conference ya game hiyo Russell Westbrook alicheka kwa dharau sana KD alivyoulizwa kuhusiana na defense ya Curry. Then what happened? Quarter ya 4 mwishoni game 6 alionekana Curry waving his two hands showing the sign of game 7.

These other NBA teams are like they've just submitted to the Warriors. And trust me, playing this way this team will dominate the league and Curry will overmatch and outwin every player regardless of his 6'3 slender soft skin body.

AND I'LL SAY THIS OVER AND OVER AGAIN. LEBRON MAY BE A BETTER TALENT THAN KOBE BRYANT. BUT HE'S NOWHERE CLOSE TO KOBE'S HEART OF WINNING. IF IT WAS KOBE IN THIS SERIES DESPITE THE ATTACKING PROWESS AND HOW ORGANIZED THIS GSW TEAM IS, HE WOULDN'T ACCEPT LOOSING SECOND STRAIGHT. WARRIORS COULD HAVE FELT THE HEAT
Na Nyani Ngabu alishasema "hawa GSW wana fighting spirit ambayo ni second to none"
 
Nahisi we'll live a decade bila kuona a team organised like this Golden State Warriors team.


For instance

Russell Westbrook in the first four games came up in a beast mode. Attacking the basket, doing great defense on Curry, and making threes wakati hakuwa a good 3 point shooter kwenye regular season.....

But then what just happened. After loosing game four in Cheaspeke Arena tena kwa blowout Center wao Golden State Warriors Mareesse Speights maarufu kama Mo Buckets tweeted kuwa "we've the best record in the league, we've got the first Unanimous MVP and we'll bounce back and win this series".

Kila mtu alimcheka. Maana walionekana wamezidiwa and mtu anasema they'll win 3 straight against that OKC team which annihilated the San Antonio Spurs?

Game five Curry steps up. Wanashinda and he's telling them we're not going home. Watu wanamwona mwehu. All I can remember ni kuwa katika press conference ya game hiyo Russell Westbrook alicheka kwa dharau sana KD alivyoulizwa kuhusiana na defense ya Curry. Then what happened? Quarter ya 4 mwishoni game 6 alionekana Curry waving his two hands showing the sign of game 7.

These other NBA teams are like they've just submitted to the Warriors. And trust me, playing this way this team will dominate the league and Curry will overmatch and outwin every player regardless of his 6'3 slender soft skin body.

AND I'LL SAY THIS OVER AND OVER AGAIN. LEBRON MAY BE A BETTER TALENT THAN KOBE BRYANT. BUT HE'S NOWHERE CLOSE TO KOBE'S HEART OF WINNING. IF IT WAS KOBE IN THIS SERIES DESPITE THE ATTACKING PROWESS AND HOW ORGANIZED THIS GSW TEAM IS, HE WOULDN'T ACCEPT LOOSING SECOND STRAIGHT. WARRIORS COULD HAVE FELT THE HEAT
2-4 going 2-5 tells you he is used to losing.. He might retire with 2-7 or even 2-8...

And this Warriors team, we don't need no KD, We have Kevin Looney and give HB his max contract.. It will be the race for 3 straight championship..
 
Back
Top Bottom