If Kyrie was healthy last season, this would be a repeat for the #Cavs
MJmemes memes bila MJ no nah.
Sio siri kwa Mara ya kwanza nampa heshima Lebron James bila kumchukia tena tukimchukia tutakuwa Hater wabaya kurudi 3-1 si mchezo ukitegemea yy ndio kairudisha na Irving jamaa anadunda dah Uncle Drew! ni nomaa. sasa tusubiri MJmemes!
Nyani Ngabu Nataka kwenda kwenye parade ya Cavs pande za Cleveland
Will do. ThanksCheki na Spirit Airlines au JetBlue😀
Nadhani kwa sababu ya haters ambao hawakuamini kama anaweza kuiongoza Cleveland kushinda dhidi ya the best team ever in regular season ndiyo sababu amelia sana kuliko huko nyuma aliposhinda akiwa na Miami Heat.
Kuna wadau wanashauri tudrive masaa kadhaaCheki na Spirit Airlines au JetBlue😀
Will do. Thanks
Huwa nasema Irving, CP3 na Derrick Rose wanacheza sexy bball.ila huyu Kyrie Irving ni mtu mmoja mbayaaaaa sana..!
Yah yale maneno waliokuwa wanamtupia Hasa Klay Thompson ndio ilimchoma sana Lebron na media walivyozidi kumchokonoa alichosema pale ndio Lebron niliacha kumchukia na kumpa heshima sababu 1.alikaa kimya hakujibu wengi wangejibu jeuri ila yeye alitafakari akafikiria hakujibu ujeuri alichosema OK! kazi kaifanya uwanjani. Jamaa kalia amekumbuka watu wanavyomsema na poa Cav Ohio ni mji unabahati mbaya na sports Finals na ukitegemea alipozaliwa kwao.Nadhani kwa sababu ya haters ambao hawakuamini kama anaweza kuiongoza Cleveland kushinda dhidi ya the best team ever in regular season ndiyo sababu amelia sana kuliko huko nyuma aliposhinda akiwa na Miami Heat.
Kwa wanaoangalia ESPN's SportsCenter au NBA TV, LeBron yupo kwenye podium sasa anaongea. Yupo na wanae watatu. Naona pia ana Cuban cigar mkononi.