NBA Season 2015 - 2016: Special thread

Je KD atakubali kwenda East (Celtics) akapambane na Lebron au atabaki West achague kupambana na Warriors ama kujiunga nao... Hili swali litajibiwa usiku huu au kesho mchana..
''Think about everything that had to happen for the Warriors to sign Kevin Durant: the timing of the new TV deal, no smoothing, Stephen Curry's bargain contract. We may never see something like this again in our lifetimes.''K.P

(kwa hisani ya watundu)
 
Warriors season tickets are already sold out for next season. True money is selling high end seats to new arena even with Durant, Curry and arena timeline uncertainty.
 
iggy got the news just like me and you..
 
Somebody tune into SportsCenter....Chris Broussard and Stephen A are in a heated argument.
 
Je, Durant naye atapondwa kama alivyopondwa LeBron kwa kudandia gravy train la GSt.?

Durant hatapondwa sana kivile, na ukiangalia kwenye mitandao watu wanahamishia lawama zao kwa LeBron kwamba ndiye chanzo cha mastaa kuhama kwenda kuungana na mastaa wenzao kutafuta urahisi wa kuwa mabingwa.
 
Durant hatapondwa sana kivile, na ukiangalia kwenye mitandao watu wanahamishia lawama zao kwa LeBron kwamba ndiye chanzo cha mastaa kuhama kwenda kuungana na mastaa wenzao kutafuta urahisi wa kuwa mabingwa.

Actually hayo mambo ya [modern day] big 3s yalianza na akina Ray Allen, KG, na Paul Pierce.

Hao ndo waliweka blueprint na wakafanikiwa.
 
Somebody tune into SportsCenter....Chris Broussard and Stephen A are in a heated argument.
Chris Boussard nimeamini is the closest link to Durant. Alisema tu baada ya playoffs kuwa he can bet Durant will be joining GSW. Nzi akanipa maneno makali humu duuuh hahahahaha. Raimundo how is that squad man Tyta I'm happy kinoma. We couldn't stop this man kuliko hata LeBron. If you can't beat them join em
 
Nasema hapa guys.... The warriors are going for a 75-7 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. I'm happy sana. Haya LeBron atengeneze huko timu na kina Wade

Nothing is guaranteed man, unaweza kuona jinsi kina LBJ walivyo-flop kwa Dallas that time 2011, baadae walivyopigwa na SAS 2014.

Bado nina kila sababu za kuamini kwamba Cavs tutarudia ubingwa, we will recruit to suit the match-up.
 
Reactions: BAK

Ndo maana Chris ni mwandishi wa ESPN Insider ambapo contents zake ni za subscription.

Hata leo mapema alikuwa anasema kwamba yeye [Broussard] alikuwa anahisi KD ata sign na Warriors.

Kwa wajuzi wa mambo hiyo ilikuwa ni journo talk ya kwamba tayari alikuwa anajua ila hakuta ku steal thunder [no pun intended] ya KDTrey!
 
Nothing is guaranteed man, unaweza kuona jinsi kina LBJ walivyo-flop kwa Dallas that time 2011, baadae walivyopigwa na SAS 2014.

Bado nina kila sababu za kuamini kwamba Cavs tutarudia ubingwa, we will recruit to suit the match-up.
Kuna uwezekano wa Wade kumfuata Lebron ?
 
Kuna uwezekano wa Wade kumfuata Lebron ?

Siyo rahisi, baada ya Heat kumkosa KD watarudisha majeshi kwa Wade, halafu Cavs bado hawajafanya assemble ya Kikosi chao maana hata LBJ ni free agent.
 
sifa nyingi sana alimwagiwa KD na Anti-GSW humu....sasa ngoja tuwaone ...''will they eat their words?''...or..''will they be in a state of denial?''

KD ninachompendea ni kitu kimoja tu, akimwona LBJ anakuwa mpole balaa, hafurukuti.

Dah, OKC are going down down.
 
Nothing is guaranteed man, unaweza kuona jinsi kina LBJ walivyo-flop kwa Dallas that time 2011, baadae walivyopigwa na SAS 2014.

Bado nina kila sababu za kuamini kwamba Cavs tutarudia ubingwa, we will recruit to suit the match-up.

Nothing is guaranteed kwa kweli.

Nani alidhani GSt. wangechomoka mbele ya OKC huku wakiwa nyuma 3-1?

Nani kikweli kweli alidhani CAVS wangeishinda timu ya 73-9 kwa kuibamiza mechi tatu mfululizo na hatimaye ku avenge loss yao mwaka jana tena huku wakiwa nyuma 3-1?

Msimu ni mrefu, kuna injuries..kuna chemsitry...mid season trades....kuna mambo mengi tu ambayo yanaweza kutokea.

Ila on paper, kwa kweli Warriors wanatisha.

Lakini, kwa bahati mbaya au nzuri mechi huchezwa uwanjani na si kwenye makaratasi.

We shall see a year from now.
 
Nani kikweli kweli alidhani CAVS wangeishinda timu ya 73-9 kwa kuibamiza mechi tatu mfululizo na hatimaye ku avenge loss yao mwaka jana tena huku wakiwa nyuma 3-1?

Mkuu mbona tena unaharibu sherehe?

Tweet ya KD 2010

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…